Mmemsahau Mnongalingi, Songombingo.....dah kweli ww ulisoma pugu. Nilipiga pale 1999. Hv mama pendo alikufa? Dah halafu J. Wasi wasi yupo Moevt pale,
NILIKUA NAKAA UJAMAA 5.
Mkandawile nae aliondoka.
Mpaka sasa nakumbuka maandishi ya pale Admin's block ''DOCEBIT VOS OMNIA''
wapi James Chiggs, Thuwein Makamba? Hawa walikua mabest wangu na Sospeter sijui nani vile mtoto wa Kibaha.