Safari 2015; CCM 3 vs CDM 1

Mafilifili uliyosema mengi siyo kilio cha wananchi. Kilio cha wananchi ni;

1.0 Mfumuko wa bei. Llikishughulikiwa hilo CCM itasalimika kwa 26% hivi ambazo ni nyingi maana mpaka saizi uchaguzi ukifanyika mna 15% ya kushinda!!!!

2.0 Kuacha kuukumbatia ufisadi na kubebena. CCM saizi inaonekana bila baadhi ya watu ambapo utendaji wao siyo wa kutukuka lakini wanang'ang'aniwa!!!!! Mfano ni Makongoro Mahanga.

3.0 Makundi nao yanaitafuna sana CCM bila yenyewe kuliona hilo. Makundi ndiyo yaliyoifikisha CCM hapo!!!!!

Mafilifili nakuomba uache porojo uje na hoja na siyo ubabaishaji.
 
Mafilili unapoleta ushabiki kwenye masuala ya uhai wa taifa letu unasikitisha sana ndugu yangu
 
Tukiwa ni karibu 50% ya kuelekea uchaguzi mkuu 2015, kuna kila dalili timu ya CCM ipo makini sana na inatumia uzoefu na mbinu za hali juu, kuidhoofisha timu ya upinzani, CDM ambayo uzoefu haina
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 1 vs CDM 0

2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 2 vs CDM 0
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 3 vs CDM 0

4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1

Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!

Mtiririko huu unaonesha jinsi Serikali ya ccm inavyoendeshwa na Chama makini cha Chadema,tukiwaambia ccm na Serikali yake kuwa"hapa mnatakiwa kuinama mnatii kweli kweli"Viva Chadema peoplesssss Powerrrrrrrrrr
 
Kweli uelewa na uwezo wa watu kufikiri umetofautiana. Kwani huyu rafiki yangu MAFILIFILI kwa hali jinsi tulivyopigika anafanyia ushabiki wa UCCM na UCHADEMA?
 
Tukiwa ni karibu 50% ya kuelekea uchaguzi mkuu 2015, kuna kila dalili timu ya CCM ipo makini sana na inatumia uzoefu na mbinu za hali juu, kuidhoofisha timu ya upinzani, CDM ambayo uzoefu haina
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 1 vs CDM 0

2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 2 vs CDM 0
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 3 vs CDM 0

4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1

Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!

mh!una hali mbaya sana kifikra,bt nashukuru kwa kuwa,yote hayo yanayokipa Chama Chenu Magumashi umaarufu yanaoriginate kutoka Chadema,kwa sasa kila mnachofanya kinategemea wapinzani wanasema nini...kufilisika sera c jambo dogo kwakweli...
 
Jamani, watu wengine wanafanyia assignment zao hapa jamvini, jamaa anatafuta jibu sahii, simnajua siku hivi, wengi hbwataki kushughulisha bongo zao.....!
 
Tukiwa ni karibu 50% ya kuelekea uchaguzi mkuu 2015, kuna kila dalili timu ya CCM ipo makini sana na inatumia uzoefu na mbinu za hali juu, kuidhoofisha timu ya upinzani, CDM ambayo uzoefu haina
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 1 vs CDM 0

2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 2 vs CDM 0
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 3 vs CDM 0

4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1

Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!

Kibela!
 
Hawa mafsa na Jk wao hawataweza kutimiza waliotuahidi 2010 zaidi ya kujitahidi kutimiza Ahadi za chadema kwa wananchi 2010 mfano hili la katiba mpya.
 
Yahani unasifia upuuzi huo? Nyie ndo maana mnadanganyika kirahisi na kutapeliwa na wanaume.
Tulia mkuu, nisome vzr tu utanielewa. Hiyo imekaa humorously, waweza kuiita satire! Usifikiri kila mtu akikusifia ni kweli anakupa sifa njema!
 
Mleta mada lazima atakuwa m2 wa mtwara maana wao wanaridhika na magamba huku mabati ni makuti ya mnazi.
 
Mafililiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:behindsofa:
 
kwa mtu ambae anatumia vema ubongo wake utawapongeza chadema kwenye swala zima la katiba kwani inayo tekelezwa ni ilani ya chadema na kitendo cha chadema kugomea na baadae raisi kukubali kubadilisha mswaada ulio pitishwa kwa mbwembwe nyingi na wabunge wa CCM sikuchache baada ya kufanya hivyo huu nao ni ushindi kwa chadema kifupi yote uliyoyasema ningekuwa mimi ningewapa pointi chadema na siyo ccm yaani chadema 4 vs ccm 0

Unajua kuna watu hata kufikiri ni matatizo. Kuna kitu cha msingi hapa ambacho CDM inafanya. Ndio maana kuna M4C. Mambo ni bado kabisa. Kama ulimsikiliza Prof Kanywani na maswali yake kuhusu huo muswada, basi utaelewa kwanini CDM walikuwa wanataka urudi kwa wananchi, na baadaye kususia. Sasa tayari muswada wenyewe unaonekana kupingana na katiba iliyopo. Pili unapozungumzia suala la jamhiri ya muungano halafu unawaambia wananchi wasija dili muungano, utagundua kwamba, kwa sababu CCM walidandia issue wasioielewa vizuri, na hata kumbeza Prof Shivji, mwalimu wao wengi. Sasa huu mchakato utakuwa na matatizo. Mpaka pale watakapowafuata CDM; waasisi wa mchakato wa katiba kuurekebisha tena. Inasemekana katiba ya sasa inabidi irekebishwe kwanza, ndipo tume inapata uhalali wa mchakato, inawezekana tume sasa inavunja katiba iliyopo. Chadema bado iko juu sana katika umakini, na usidhani CDM imebweteka sana na hili unalojisifia.

Haya ni mawazo yangu tu, usije ukasema napinga mchakato.
 
Tukiwa ni karibu 50% ya kuelekea uchaguzi mkuu 2015, kuna kila dalili timu ya CCM ipo makini sana na inatumia uzoefu na mbinu za hali juu, kuidhoofisha timu ya upinzani, CDM ambayo uzoefu haina
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 0 vs CDM 1

2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 0 vs CDM 2
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 0 vs CDM 3

4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1

Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!

Labda utarudi mwenyewe, na kijana anayerudi CCM wakati huu atakuwa na mtindio wa ubongo wakina makamba wanatamani kuja CDM kwenye vijana makini lakini mzee makamba anamkoromea.
 
Huku ni home of great thinkers. Kabla hujaandika chochote fikiria kwanza ndo upost, na sio ufikirie kimasaburi coz utatuletea facebook status huku.
Huku hatujifurahishi kuandika chochote without facts. Mheshimiwa naona umekosea njia labda ulikuwa unaelekea fb na sio jf
 
Je katiba mpya ilikuwepo kwenye ilani ya ccm sasa iweje mkuu wa nchi aitekeleze ilani ya cdm? zungumza ukweli si propaganda' sijui utapiga propaganda wapi maana haina ajira tena kwetu ccm''''. muulize tambe hiza wa tmk
 
Tukiwa ni karibu 50% ya kuelekea uchaguzi mkuu 2015, kuna kila dalili timu ya CCM ipo makini sana na inatumia uzoefu na mbinu za hali juu, kuidhoofisha timu ya upinzani, CDM ambayo uzoefu haina
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 1 vs CDM 0

2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 2 vs CDM 0
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 3 vs CDM 0

4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1

Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!

punguza kuvuta bangi huku umekunywa gongo
 
Tukiwa ni karibu 50% ya kuelekea uchaguzi mkuu 2015, kuna kila dalili timu ya CCM ipo makini sana na inatumia uzoefu na mbinu za hali juu, kuidhoofisha timu ya upinzani, CDM ambayo uzoefu haina
1. CDM walilia kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya: JK akatoa tamko la mkakati kuanza; CCM 1 vs CDM 0

2. CDM kulalamika mawazo yao kutokuwepo katika namna ya uanzishaji na utaratibu wa kufikia katiba mpya: JK akisikia kilio chao na kuwakaribisha IKULU wakatoa mawazo yao; CCM 2 vs CDM 0
3. CDM kupendekeza mjumbe katika tume ya kukusanya maoni, JK kumteua na kumuapisha Prof. Baregu; CCM 3 vs CDM 0[/B


4. CDM kushinikiza PM awajibike ama mawaziri wapigwe chini; JK kuwatoa nje ya baraza mawaziri husika; CCM 0 vs CDM 1

Hatahivyo upepo umegeuka ghafla CDM inabidi mjizatiti, CCM imekuja na mbinu mpya na wananchi wanakubali serikali yetu. Kuna kila daliili ifikapo JULAI vijana watarudi tena nyumbani, CCM!!


Umekosea kuhesabu, Kwa kuwa CCM imefata mapendekezo ya CDM, yenyewe ndo imepigwa bao! Kumbe Score bord inatakiwa isome:
CDM 3 CCM 0 ! Hata mbumbumbu wa tathmini anaona hilo! Kwa maneno mengine CDM ndo inashika hatamu, wakati CCM ndo inayoendeshwa! Unachotaka tuamini ni kwamba Farasi ana maamuzi zaidi ya yule anayemwendesha!
 
Unajua kuna watu hata kufikiri ni matatizo. Kuna kitu cha msingi hapa ambacho CDM inafanya. Ndio maana kuna M4C. Mambo ni bado kabisa. Kama ulimsikiliza Prof Kanywani na maswali yake kuhusu huo muswada, basi utaelewa kwanini CDM walikuwa wanataka urudi kwa wananchi, na baadaye kususia. Sasa tayari muswada wenyewe unaonekana kupingana na katiba iliyopo. Pili unapozungumzia suala la jamhiri ya muungano halafu unawaambia wananchi wasija dili muungano, utagundua kwamba, kwa sababu CCM walidandia issue wasioielewa vizuri, na hata kumbeza Prof Shivji, mwalimu wao wengi. Sasa huu mchakato utakuwa na matatizo. Mpaka pale watakapowafuata CDM; waasisi wa mchakato wa katiba kuurekebisha tena. Inasemekana katiba ya sasa inabidi irekebishwe kwanza, ndipo tume inapata uhalali wa mchakato, inawezekana tume sasa inavunja katiba iliyopo. Chadema bado iko juu sana katika umakini, na usidhani CDM imebweteka sana na hili unalojisifia.

Haya ni mawazo yangu tu, usije ukasema napinga mchakato.

Mbu hauawi kwa rungu, bali ni kwa "MBINYO MDOGO TU!"
 
Back
Top Bottom