Recent content by SODIUM CYANIDE

  1. SODIUM CYANIDE

    Bi mkubwa amenipigia simu analia muda huu,anasema amepigwa makofi na mzee

    Huyo mama ni hatari kuliko nyoka. Anagombana na mme wake halafu anakwenda kumshitaki kwa mtoto wake? Kabla hujawa mtu mzima alikuwa anapeleka kesi wapi? Ninachoamini kupigana hawajaanza leo wala jana. Kwa kifupi kesi hiyo huna mamlaka ya kuitolea maamuzi. Huna mamlaka ya kumtoa baba yako...
  2. SODIUM CYANIDE

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Inategemea na degree unayoenda kusoma baada ya foundation Biashara Sanaa Sayansi
  3. SODIUM CYANIDE

    Foundation programme

    Ndio. November intake.
  4. SODIUM CYANIDE

    Jinsi gani naweza kusoma Open University?

    Utaratibu ni huo huo unalipia 210k ya registration unapewa SARIS account kisha unasajili course. Utalipia units zako kwa installments 2 ya September na March. Huwa wana resume ila hiyo miaka 8 sijajua itakuwaje. 0764 234821 Huyu ni Drc wa tawi la open Geita mcheki kwa msaada.
  5. SODIUM CYANIDE

    Jinsi gani naweza kusoma Open University?

    Hivyo utatakiwa kulipia 360000 baada ya kuwa registered na hapo utaanza masomo
  6. SODIUM CYANIDE

    Jinsi gani naweza kusoma Open University?

    Inaanza November na kuhitimu June. Unalipa 210000 ya registration baada ya hapo unasajili masomo halafu unalipia units zako unaanza masomo
  7. SODIUM CYANIDE

    Serikali: Magari chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini

    Walishindwa kwenye nguo za mitumba. Huku ndio wataweza?
  8. SODIUM CYANIDE

    Ijue Aquamation, Archbishop Desmond Tutu's aliomba achomwe kwa njia hii badala ya moto

    Wengine tunaamini kupata msaada kwenye makaburi ya wapendwa wetu. Mizimu ya kikeni na kiumeni
  9. SODIUM CYANIDE

    Tabasamu la Tulia

    Kufa kufaana!! Adui muombee njaa....
  10. SODIUM CYANIDE

    Hatimaye naenda kuoa Moshi mke wa pili raha jipe mwenyewe

    Usije ukaruka majivu, ukakanyaga moto. Kila binadamu na mapungufu yake
  11. SODIUM CYANIDE

    Uchafu na unyama wa mabasi ya MATUNDULU, tumetelekezwa njiani bila taarifa. Tunaomba msaada

    Pesa za dhahabu miyeyusho alijua ameshatoboa kumbe karanga za kuonjeshwa. Angepiga hata route ya mwanza - bukoba
  12. SODIUM CYANIDE

    Misemo ya zamani mitamu sana

    Mijimama iliyonona "shangingi"
  13. SODIUM CYANIDE

    Alexander the great, Mfalme aliyepania kuitia dunia kwenye kiganja

    Tulikuwa tukihesabu miaka kurudi nyuma kabla ya kristo. Kumbuka BC na A.D kwenye historia.
Back
Top Bottom