Misemo ya zamani mitamu sana

Misemo ya zamani mitamu sana

Sigonella Island

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
13,422
Reaction score
40,723
Nakumbuka miaka ya 80s - 90s wakati nakua nlikuta maneno ya zamani baadhi ni kama kuita Polisi, Mamwela au Manjagu na Mapongo sasa hv tunawaita Tigo au....Wanawake zamani tuliwaita Ngaya.

Kufanya mapenzi zamani tuliita kufanya matusi kusuuza...Mshamba zamani tulimuita Ngoima, Goloko, Ndezi, Pimbi, sa hivi wanaitwa Makolo au kinega

Kula vinono tuliita kujichana..bishoo tulimwita mtanashati...tu anayekumbuka ladha za enzi hizo atupatie tu enzi wakati ule
 
Yanga iliitwa YEBOYEBO kwa maneno ya kisasa inaitwa Utopolo.kwa sauti ya msemaji wao tikitimaji
 
Back
Top Bottom