695000 tshGharama ya hyo foundation course ikoje
Naweza kulipa polepole na huwa inaanza kuanzia mwez gani?695000 tsh
Inaanza November na kuhitimu June.Naweza kulipa polepole na huwa inaanza kuanzia mwez gani?
Hivyo utatakiwa kulipia 360000 baada ya kuwa registered na hapo utaanza masomoInaanza November na kuhitimu June.
Unalipa 210000 ya registration baada ya hapo unasajili masomo halafu unalipia units zako unaanza masomo
Aisee hapa naona nmeshachelewa maana November ndo hii au naweza kukubaliwa mwezi decemberHivyo utatakiwa kulipia 360000 baada ya kuwa registered na hapo utaanza masomo
Na vp khs undergraduate degrees utaratibu wa maombi na kuzilipia hizo units huwa ukojeAisee hapa naona nmeshachelewa maana November ndo hii au naweza kukubaliwa mwezi december
Utaratibu ni huo huo unalipia 210k ya registration unapewa SARIS account kisha unasajili course. Utalipia units zako kwa installments 2 ya September na March.Na vp khs undergraduate degrees utaratibu wa maombi na kuzilipia hizo units huwa ukoje
Nmewahi kuomba nikachaguliwa course ya journalism sikwenda kusoma maana nlipata course nyingine chuo kingine imepita miaka km 8 naweza kuresume au itabidi nianze upya?
Hya asante mkuuUtaratibu ni huo huo unalipia 210k ya registration unapewa SARIS account kisha unasajili course. Utalipia units zako kwa installments 2 ya September na March.
Huwa wana resume ila hiyo miaka 8 sijajua itakuwaje.
0764 234821 Huyu ni Drc wa tawi la open Geita mcheki kwa msaada.
Ninavyojua foundation husomwa na wale ambao grades zao hazitoshi kujiunga na vyuo vikuu, waliotoka 6 na wale wa diploma wenye GPA chini ya 3.0 kama cjakosea.kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante