Recent content by socrates jr

  1. socrates jr

    Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

    huku ni kupangiana maisha...kila mtu na kupao mbele chake! Sent from my PACM00 using JamiiForums mobile app
  2. socrates jr

    Nani Bora zaidi katika nyanja ya uchumi kati ya Zitto Zuberi Kabwe na Dr Bravious Kahyoza

    Bravius ni KIHIYO na wala hana udokta wowote! Chaajab media zimeendelea kumshadadia tuu wakat he's a scam.
  3. socrates jr

    Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

    True Sent using Jamii Forums mobile app
  4. socrates jr

    MATAGA tunadhalilishana sana

    hivii jamani naomba mnielewesheni nini maana ya neno ”MATAGA". Nimona likitumuka sana lakin kwa bahat mbaya sifaham maana au kiref chake...mwenye ufaham tafadhali aniondoe ujinga.
  5. socrates jr

    Mrejesho data za hali ya hewa Dodoma, Tanga na Kagera.

    Pole kwa changamoto lakini unachosema ni sahihi kwasababu mimi nilisoma nje ya nchi na wakat nafanya research nilitaabika sana kupata takwimu za kiwango cha mvua ya wastani kwa mwaka kwa mkoa tofauti kutoka TMA. Lakini Mungu ni mwema. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. socrates jr

    After illegally fished on Tanzania waters now Kenyans want a lift on ban on fishing gears

    Kaeni na nyavu zenu vueni kwenu..as simple as that. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. socrates jr

    Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

    Tafuta kitabu kinaitwa THE LOST BOOK OF ENKI utajifunza mengi zaidi
  8. socrates jr

    TCRA yavipiga faini Vituo vya runinga ya Tsh. Mil 60 kwa kukiuka maadili ya uandishi na kutangaza habari za kichochezi

    Inasikitisha kuona TCRA wakivipiga fine vyombo vya habari vya itv, channel 10, eatv & azam 2 kwakile ambacho wao wanadai ni kurusha habari za uchochezi na zilizokosa mizania na hivyo kukiuka masharti na kanuni za utangazaji. Tukichukulia madai haya kuwa ni sahihi basi kwa namna yeyote Ile ni...
  9. socrates jr

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natamaani saana kuupata wimbo unaoitwa BEATRICE umeimbwa na Zahir Zoro & Mass Media band kipindi hicho
  10. socrates jr

    Rais Magufuli: Nilivyoingia sukari Ilikuwa Sh. 5,000/- sasa hivi imeshuka na itaendelea kushuka

    safari hii tuna rais wa ajabu-ajabu; Tundu Lisu (2017)
  11. socrates jr

    Konyagi badilikeni kidogo

    100% correct
  12. socrates jr

    Mdororo wa uchumi waikumba Tanzania, TPA yapunguza vibarua 700, hakuna meli wiki 4

    IMF says Tanzania’s economic performance remains strong
Back
Top Bottom