hivii jamani naomba mnielewesheni nini maana ya neno ”MATAGA".
Nimona likitumuka sana lakin kwa bahat mbaya sifaham maana au kiref chake...mwenye ufaham tafadhali aniondoe ujinga.
Pole kwa changamoto lakini unachosema ni sahihi kwasababu mimi nilisoma nje ya nchi na wakat nafanya research nilitaabika sana kupata takwimu za kiwango cha mvua ya wastani kwa mwaka kwa mkoa tofauti kutoka TMA. Lakini Mungu ni mwema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha kuona TCRA wakivipiga fine vyombo vya habari vya itv, channel 10, eatv & azam 2 kwakile ambacho wao wanadai ni kurusha habari za uchochezi na zilizokosa mizania na hivyo kukiuka masharti na kanuni za utangazaji.
Tukichukulia madai haya kuwa ni sahihi basi kwa namna yeyote Ile ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.