Napenda kuwashukuru wote mliochangia kunisaidia kuhusu mwanangu kupata data za hali ya hewa ya Dodoma, Tanga na Kagera.
Mwendo haukuwa rahisi na ilibidi tupige hodi kwa majirani Uganda ambao wana data zote mtandaoni na wanaweza kuwasiliana na mhusika moja kwa moja. Mwanangu ameweza kufanikiwa kupata data za Uganda kulingana na kanda zake. Kule kwenye mvua nyingi na kwenye ukame na mvua za kadri. Hakuhitaji kulipa chochote na amemaliza kazi yake.
Nasikitika ila sitasema zaidi maana nchi yetu bado tuna mwendo. Nilieleza nilivyokataliwa wanangu kufanya research Milembe Hosp. wakaenda kufanya nchi nyingine tena kwa kupewa accomodation, mwingine ilibidi kaka yake aingileie kati sababu anawadhifa serikalini ndo akapata research tena kwa masharti magumu ambayo ilibidi barua zilitoka mpaka kwa mwenyekiti wa CCM wa kata!!
Nashukuru wote mlionipa ushauri na sana sana nashukuru wale waliosema namdekeza mwanangu. Mungejua watoto wanaosoma nje ya nchi wanavyopata shida kukubaliwa nyumbani mungenihurumia.
cc Ndege John asante kwa ushauri na wengine.
Mwendo haukuwa rahisi na ilibidi tupige hodi kwa majirani Uganda ambao wana data zote mtandaoni na wanaweza kuwasiliana na mhusika moja kwa moja. Mwanangu ameweza kufanikiwa kupata data za Uganda kulingana na kanda zake. Kule kwenye mvua nyingi na kwenye ukame na mvua za kadri. Hakuhitaji kulipa chochote na amemaliza kazi yake.
Nasikitika ila sitasema zaidi maana nchi yetu bado tuna mwendo. Nilieleza nilivyokataliwa wanangu kufanya research Milembe Hosp. wakaenda kufanya nchi nyingine tena kwa kupewa accomodation, mwingine ilibidi kaka yake aingileie kati sababu anawadhifa serikalini ndo akapata research tena kwa masharti magumu ambayo ilibidi barua zilitoka mpaka kwa mwenyekiti wa CCM wa kata!!
Nashukuru wote mlionipa ushauri na sana sana nashukuru wale waliosema namdekeza mwanangu. Mungejua watoto wanaosoma nje ya nchi wanavyopata shida kukubaliwa nyumbani mungenihurumia.
cc Ndege John asante kwa ushauri na wengine.