assenga Jr
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 368
- 459
Amri kutoka juu
Si bora hio kuliko kuzalisha mke wa mtu?Uchwara halafu anakomunika kabisa mbele ya kamera...daah!!
Yaani nimesoma na kurudia tena na tena lakini bado sijakuelewa!!Inasikitisha kuona TCRA wakivipiga fine vyombo vya habari vya itv, channel 10, eatv & azam 2 kwakile ambacho wao wanadai ni kurusha habari za uchochezi na zilizokosa mizania na hivyo kukiuka masharti na kanuni za utangazaji. Tukichukulia madai haya kuwa ni sahihi basi kwa namna yeyote Ile ni laazma Serikali ikiwajibishe kituo cha sheria maana wao ndio chanzo cha taarifa husika kutokana na taarifa yao ya tathmini juu ya mwenendo na hali ya uchaguzi mdogo uliopita. Kutofanya hivyo ni kujenga hisia tofauti ya kwamba lengo la adhabu ya tcra ilikuwa si mizania ya habari isipokuwa ni sehemu ya mkakati wa watawala kuendelea kukandamiza haki ya wananchi kupata habari hasa pale ambapo habari husika haina mlengo wa kuisifu Serikali.
We need to do something ili heshima irudi.Hivi hawa ni lini wataacha kuminya uhuru wa vyombo vya habari?
Labda nikusaidie kueleza nilivyomuelewa.Yaani nimesoma na kurudia tena na tena lakini bado sijakuelewa!!