Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 769
Hili ni mara ya nne naona humu ndani tunadhalilishana na kuonekana wote hatuna akili kisa kauli ya kenge wachache kupewa nguvu kwenye msafara wa mamba.
Nianzie hapa, ndugu zangu Chama changu kina vijana wa kila aina na kila sekta ambao wana upeo mkubwa sana katika kudadavua mambo lakini kwa bahati mbaya wasio na akili ndio wanapewa nguvu za kutuongoza wenye akili mpaka inafika wakati unaona bora ukae pembeni.
Huwezi kuamini hili nimelikuta Tweeter lakini jana tu tumetoka kubishana kuwa hiki kitatu cost wasio na akili sababu wamepewa nguvu kutuongoza wenye akili katika kitengo chetu basi wamefanya ujinga wao na umewa backfire.
Nianzie hapa, ndugu zangu Chama changu kina vijana wa kila aina na kila sekta ambao wana upeo mkubwa sana katika kudadavua mambo lakini kwa bahati mbaya wasio na akili ndio wanapewa nguvu za kutuongoza wenye akili mpaka inafika wakati unaona bora ukae pembeni.
Huwezi kuamini hili nimelikuta Tweeter lakini jana tu tumetoka kubishana kuwa hiki kitatu cost wasio na akili sababu wamepewa nguvu kutuongoza wenye akili katika kitengo chetu basi wamefanya ujinga wao na umewa backfire.