Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,093
...tusi la kisayansi...heko/
Hiki ni kinywaji swafi kwa watu wenye mafuta mengi mwilini na vitambi vinavyoleta shida kwenye ndoa.Hamia kwenye kiroba mkuu
View attachment 362093
100% correct!
!
Mleta mada ana hoja ya ukweli mno. Konyagi watoe elimu njia rahisi ya kufungua Konyagi
Ukipiga takoni inakuaje mkuuKimiminika chochote chenye mfuniko wa bati na seal kwenye chupa ya kioo inamisha kichwa chini kisha irudishe juu halafu fungua taratibu, kamwe Usijaribu kuipiga kwenye kitako ni hatari
Mkuu, kumbe na wewe unakunywa gongo! Nilikuwa nakuona mtu wa maana!

Ikitokea ukatumia nguvu chupa ikakupasukia kiganjani ni shida...nilishawahi kushuhudia barmaid mmoja akichimbika mkonoUkipiga takoni inakuaje mkuu
Ule ni ushabik tu na makeke ya walevi,chupa inafunguka tu kama chuoa ya orange squashIkitokea ukatumia nguvu chupa ikakupasukia kiganjani ni shida...nilishawahi kushuhudia barmaid mmoja akichimbika mkono
inategemeana na eneo, kwa mangi dukani ni 3,500 hapa Dar, ila kwenye bar hadi 5000Chupa ndogo konyagi kwa sasa sh ngapi?
Vipi Kitakwimu na kiuchumi hizi bei haziwezi kuaffect biashara distillers?inategemeana na eneo, kwa mangi dukani ni 3,500 hapa Dar, ila kwenye bar hadi 5000