Sasa kama kila kitu cha nchi hii kinaitwa cha Magufuli au serikali ya magufuli KWANINI asipambane naye ili vitu vya UMMA vibaki kuwa kuwa vya UMMA na vitajwe hivyo
Hivi kusoma hotuba si sawa na mtangazaji kusoma taarifa ya habari??? Kabla ya kwenda hewani huwa wanafanya rehearsal ya kutosha. Natumaini hata jamaa amefanya rehearsal ya kufa MTU.
Kiki kila mahali.... Jamaa akiona hata Waziri wake atapata Kiki hudandia kwa mbele.... Mfano swala LA mifuko ya plastiki, January kaonekana yuko juu mpaka Nape akampongeza, Jamaa kuona hivyo akaibukia Ferry na kikapu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.