First selection & reserve wote wanachukuliwa, usiwe unauliza kila kitu kama mjinga kuna mdau kakuuliza upo wap ukimjibu ujue imekula kwako ndugu reserve.
Hao watu mnawatetea ila ni majizi,kuna huyo mfupi alitumwaga akanunue ng'ombe kwaajili ya sherehe baadhi akaswaga kuelekea tanga ikabidi Jk Nyerere amfukuze kwa kua mzee alikua mtu mwema alimsamehe na kumrudsha kazi.
Mleta mada hasipuuzwe kitu cha kujiuliza hao wazee wameweza vip kupata karatasi yenye nembo ya chama na kutumia mashine za uchapaji wakat miongoni mwa wamiliki wa waraka anamatatizo ya kuzoom.
Kuna familia walikua wakitumia vile vitanda vya kamba wazazi juu watoto uvunguni ilipofika usiku mzee akaanza kuomba tunda watoto wamekwisha lala ile anaweka ikapenya pemben bahati mbaya mpaka uvunguni,akawa anauliza mkewe vip mbna inaenda kusiko kijana wake mdogo aliekua uvunguni akajibu iko...
Kama huyo bwana akiwania ngwee nyingine atashangaza akapumzika muda sio rafik tena kuna wakati anazungumza huku sura imekunjamana utadhani kakalia pini.
Nikiwa kijana mdogo niliend kuomba kujitolea kwenye shirika binafsi ofisa niliemkuta akanijibu "ndio utajitolea ila itaitajika upate chochote kidogo japo kwa chakula na nauli" akasema kwa sasa hayupo vizuri nijaribu kwingine.
Sasa hawa ndugu zetu "kujitolea" wameichukulia kama kujitolea kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.