kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
bangi ilimuongopea.Nasikia alikuwa ni mikwara ...anapita marindoni analazimisha apigiwe salute..
bangi ilimuongopea.Nasikia alikuwa ni mikwara ...anapita marindoni analazimisha apigiwe salute..
Miaka 23 awe ass inspector? una utani wwe huna tofaut na huyo dogo akili zinafananaIla wapo vijana wadogo kama huyo jamaa wana cheo cha rank iyo,Jaribu kupita siku moja pale makao makuu yao polisi utaona
Mzee wa kukurupuka!wanasema alipita jkt 2006 now ama miaka 23, kuanzia 2006 hadi sasa imepita miaka 14, 23-14 =9 so alikuwa jkt akiwa na miaka 9
Nakumbuka wakati ule wa uchaguzi wa 2015 niliwahi kumuona kijana mdogo ana nyota moja,kuja kuuliza kwa wale asikari wenzake wakasema jamaa ameingia na elimu yake ndio maana amepewa cheo icho kwakweli sikuamini hata mimiMiaka 23 awe ass inspector? una utani wwe huna tofaut na huyo dogo akili zinafanana