Utararibu wa kawaida umerejea korea ya kaskazini 2021 jana usiku.
Mwaka jana Kim jong un alionekana akilia na kuomba msamaha mbele ya gwaride kwa kushindwa kudhibiti covid na uchumi , ilikwa tu ni ngonjera.
Ni wiki mbili tangu mwaka 2021 uanze akisimama na kupungia magwaride yake yakipita na...
Jeshi limezunguka na kuingia kwenye nyumba ya Bobi wine na kumuweka chini ya ulinzi, Bobi amelalamika uchaguzi ulikuwa na ubadhilifu na amejitangaza kama raisi wa nchi hiyo na kwamba ameshinda kwa asilimia 65 kwa 28 .nini maoni yako?
LAIZER AMEOMBA SERIKALI KUPELEKA WALIMU SHULE ALIYOJENGA
Baada ya Bilionea Saniniu Laizer kukamilisha ujenzi wa Shule aliyoijenga kwa pesa zake na kugharimu milioni 466 ili kusaidia Jamii inayomzunguka, Laizer ameomba Serikali kupeleka Walimu katika shule hiyo ili ifunguliwe.
=======...
Chama cha Democratic kimepata ushindi muhimu katika duru ya pili ya uchaguzi wa viti viwili vya Baraza la Seneti katika jimbo la Georgia kwa kunyakua kiti kimoja na kuongoza katika kiti cha pili ambacho matokeo yake hayajatangazwa bado.
Ushindi huo kutokana na matokeo ya awali unakaribia...
Nimesoma hivi vitabu ni ukweli mtupu tungekuwa mbali sana
source (chanzo)
*"Bibi Titi and the Treason Trial of 1970," in The East African, Nairobi, Kenya, 10–16 November 1999
*Godfrey Mwakikagile, chapter 13, "Coup Attempts Against President Julius Nyerere.
*Wikipedia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.