CAF Champions League: Simba yatinga hatua ya makundi

Kwa kweli ni furaha kwa mashabiki wa simba sc na nchi kwa ujumla.....ila kusema kweli jamani ile penalti ya nyoni au lile goli la kwanza kama huna uzoefu unaweza kukosa kwa presha hata kama ni hodari wa kupiga penati...bwalya leo kacheza sana ila cha muhimu ni kuwa tena kwa herufi kubwa kabisa WACHEZAJI WAZAWA HASAHASA VIUNGO NA WASHAMBULIAJI WANATAKIWA WAJIFUNZE KUTOKA KWA HAWA WACHEZAJI WA KIGENI MFANO KAMA HAWA WA SIMBA.......
Hapa ndio tunapokosea kisema wajifunze...kwani wanajifunza kwa kuangalia....wachezaji wanaandaliwa sie ndio tunapokosea
 
Hapa ndio tunapokosea kisema wajifunze...kwani wanajifunza kwa kuangalia....wachezaji wanaandaliwa sie ndio tunapokosea
Hilo la kuandaliwa ni jingine linahitaji mikakati pia na ni vzuri.....ila sasa hawa waliopo watabaki hivhiv na kushangaa tu lazima wajitafakari kuwa kumbe hatujamaliza kuna mambo mawili matatu ya kuchukua kutoka kwa wageni.
 
Hilo la kuandaliwa ni jingine linahitaji mikakati pia na ni vzuri.....ila sasa hawa waliopo watabaki hivhiv na kushangaa tu lazima wajitafakari kuwa kumbe hatujamaliza kuna mambo mawili matatu ya kuchukua kutoka kwa wageni.
Braza copy and paste ingekuwa rahisi hivyo basi ata sie tungeshakuwa donor country zamani. Mpaka leo ata kutengeneza gari hatuwezi so kuwa na foreign players playing in the league haimaanishi kuwa magicaly wachezji wetu watakuwa wazuri kivile.

Wanaotumia billions kwenye academy, kusomesha makocha, research kuhusu mchezo wenyewe and how players learn sio wajinga.
 
Hongereni Mikia, Refa kawabeba. Kitu kimoja team zetu za East Africa tulikuwa tunafail ni mikakati nje ya uwanja Kama hiyo ya refa.. Hongereni kwa kulijua hilo
Matarajio yako hayajafanikiwa.. Pumbafu
 
Mugalu ni zero, amegusa mpira mara nne tu.
Hakabi, hata kupiga chenga hawezi.
Ni mzito kama gunia la chumvi.
Alipokuwa uwanjani Simba walicheza watu tisa tu.
Anatembea tu uwanjani na kutafuna big G.
Akisubiri kuotea
Dozee dozee boss ndio maana akatolewa
 
Hongereni Mikia, Refa kawabeba. Kitu kimoja team zetu za East Africa tulikuwa tunafail ni mikakati nje ya uwanja Kama hiyo ya refa.. Hongereni kwa kulijua hilo
Wewe utakufa na kiolo acha upuuzi asiyekubali kushinda si mshindi utaumia roho bure kubali tu Simba ndio beberu la kazi
 
Inamaana hujaona nyuzi hapa zikisema hivyo?Au kwasababu umeweka kamchanganyo ka lugha ndio inakuwa habari mpya?
 
IMG-20210106-WA0161.jpg
 
Back
Top Bottom