Basi kuna watu mnafaidi nchi.. sisi wa serikali kuu tunalia tu
migodini watu darasa la saba tu wanakula mpaka 3M
Ww ndio unajaza watu ujinga! Alichosema jamaa ni sahihi kbsa na ungekua kwel kwnye moja ya taasisi hizo usingesema jamaa anajaza watu ujinga!mimi nipo kwenye moja ya hizo taasisi, narudia tena acha kujaza watu ujinga.
Ni muongo sema jf wajuaji wengi! Mm nna two best friends wanfnya kazi tpdc na wana diploma wanlipwa mshahara 1+ na walipoajiriwa tu walienda training china wakalipwa 10+wewe haupo kwenye taasisi yoyote kati ya nilizozitaja unachotafuta in justification, hata Mimi naweza Sena nipo taasisi Fulani kusema no rahisi
nimem pm salary slip kama atakua na busara atarudi hapa aongee ukweli sasaWw ndio unajaza watu ujinga! Alichosema jamaa ni sahihi kbsa na ungekua kwel kwnye moja ya taasisi hizo usingesema jamaa anajaza watu ujinga!
Mm nfnya kazi kwenye government agency na mshahara wa mtu wa dip kwa taasis yetu ni 1+nimem pm salary slip kama atakua na busara atarudi hapa aongee ukweli sasa
salary slip haionyeshi ww ni mtumishi wa kada gani, secretary, diploma, degree,dereva,nk hivyo haitoshi kusupport argument yako.nimekutumia slip ili uache ku spread missinformation
Yeah! TANAPA sio mchezo aisee.Watu wanajiropokea tu, degree mwenyewe halipwi 1.4M we diploma upewe hio kama nani? Mishahara ya hivyo labda TANAPA naweza kubali ila sio taasisi nyenginezo. Au labda NGO kwa mzungu
ni kweli sio wafanyakazi wote but waliopo transmissions ni maradufu na ni kwa ajili ya safari
hata mimi huwa nashangaaHawa jamaa wanajionaga ni wana Ki SUB Shirika chao maana kwa Mwezi Night za 2m ni kawaida tu nachoshangaaga wana maisha ya kawaida sijui wanafanyiaga nini hizi hela asee.
we nawe expert kubwa jingaIT bongo![]()
Mifuko ya hifadhi, TCRA, TRA e.t.cTaasisi zipi hizo??
Sio kweli..tanesco certificate anaweza fikisha zaidi ya 2M kama yupo transmissions ukijumlisha safari na safari haziishi ni kila mwezi
mimi nipo kwenye moja ya hizo taasisi, narudia tena acha kujaza watu ujinga.
sema ukweli ni up?Sio kweli..
mkuu Mimi sijaajiriwa kabisa hizo ni taarifa tu