Recent content by Sniper14

  1. S

    Why me simpati mwanaume kama huyu i am tired kabisa

    Utapewa wa kufanana naww.....!
  2. S

    Nifanyeje Kupunguza Gharama za Milango?

    Weka milango ya kuingilia ndani tuu yaani wa mbele na nyuma then ingia. Taratiiibu ukipata pesa utaweka ya vyumbani wkt huo umeweka hata mapazia tuu. Kikubwa upo kwako mzee. na nyuma k
  3. S

    TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

    Kaka nimezaliwa na kukulia hiyo Mbezi beach ila huyo mtu simfahamu......kifupi Mbezi beach kubwa saaaana siyo km mtaa wa Gerezani pale Kkoo.
  4. S

    ushauri...nimetembea na wanaume wawilii!

    Ondoa neno MDOGO WANGU alafu weka MIMI then njoo uombe ushauri 🤔
  5. S

    ushauri...nimetembea na wanaume wawilii!

    Ondoa neno MDOGO WANGU alafu weka MIMI then njoo uombe ushauri 🤔
  6. S

    Pendekezo la Kuundwa kwa Tume Huru ya Kuchunguza Mwenendo wa Polisi Tanzania

    Polisi wapo kwa ajili ya kulinda maslahi binafsi ya Wanasiasa na Mali zao.....alafu unataka hao hao Wanasiasa wawachunguze polisi? 🤔🤔🤔 HILO LITAWEZEKANA ITAKAPOBADILISHWA KATIBA TOFAUTI NA HAPO HAKUNA HICHO KITU.
  7. S

    Dark days 17/03/20

    Mm nitoe aiseh
  8. S

    Naomba ushauri: Nimegundua mke wangu ana mahusiano na jamaa ninayefahamiana naye

    Ishi na option no.1 & 2 na hakikisha Jamaa anajua umemkula mkewe na obviously atamwambia MKE wako. Mkeo akikuuliza mwambie ukweli kwann umefanya hivyo na yupo huru kuondoka maana humuamini na mapenzi uliyokuwa nayo kwake hayapo kwasasa zaidi utalea tuu watoto wako......OVER! Maana Bora HAYO...
  9. S

    Hivi inawezekana kuishi kwa bajeti ya kila kitu? Chakula, mavazi, matumizi binafsi, nk?

    NATAMANI kufahamu unapokea/kuingiza sh ngapi kwa mwezi na mnaishi wangapi hapo getho kwako.
  10. S

    Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

    Wamechelewa sana kuja hao Wachina aiseh. Si kwa bei hizi wanazotupiga 🤔
Back
Top Bottom