Recent content by Smith Rowe

  1. Smith Rowe

    Bosi alalamika kuibiwa Tsh milioni 31 na mfanyakazi, vijana punguzeni tamaa

    Hata nyie mnachangamoto, si mmepeleke kwenye vyombo vya sheria.
  2. Smith Rowe

    Bila kutangazwa Tenda waarabu wapewa Bandari, Ngorongoro, Mwendokasi na KIA

    Tayari yamesababishwa na ikiendelea hivi baada ya miaka miwili Tanzania litakuwa bomu linalosubiri kulipuka.
  3. Smith Rowe

    Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Umeshauri vizuri na sio TEC tuu bali viongozi wa dini zote naamini kutakuwa na matokeo chanya 100% maana hawawazi madaraka ya kisiasa, kuliko kufungamana na wanasiasa wanaowaza upigaji na vyeo.
  4. Smith Rowe

    Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Ndiyo wakae pamoja ili hata kama hana uwe uwezo aupate kupitia wenye uwezo.
  5. Smith Rowe

    Namuona Khamenei mwishoni mwa utawala wake

    Huyu wa nchi ya kusadikika vipi
  6. Smith Rowe

    Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Unaonekana una maisha magumu sana jinsi unavyojibu comment za watu.
  7. Smith Rowe

    Dark days 17/03/20

    Uzi umejaa ujinga JF waufute tuu
  8. Smith Rowe

    Dark days 17/03/20

    Kama sio useng'ee ni nini?
  9. Smith Rowe

    Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Utabiri chambichambi
Back
Top Bottom