Recent content by Smith Rowe

  1. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Biashara 4 zenye Faida kubwa zaidi nchini Tanzania kwa sasa. Matajiri hawataki uzijue

    Maboksi gani unazungumzia? Kama ni haya ya 3PLY na 5PLY nakupa pole sana, mashine ya corrugator tuu bei uliyoandika haikaribiani hata na nusu, bado hujazungumzia material.
  2. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Utata wa Tomato

    Tomato zinatengenezwa hapo iringa na wabongo, ukishindwa kuyaface matatizo yako na kusingizia wazungu utakuwa mgonjwa wa akili.
  3. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Nchi hii inatia hasira bila kwenda road hakuna kitu kitabadilika

    Inakera sana
  4. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa LATRA unaenda kuwa mzigo kwa wasafiri wa Kisemvule, Vikindu, Mbande Kisewe

    Kwa mbagala wakieza kutoa gari za mwendokasi kila baada ya dk 2 ndiyo wataweza kuhudumia hiyo ruti tofauti na hapo ni mateso tuu, ila route ya Kisemvule to gerezani waiache.
  5. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Nyingine hii Elijah Mwandumbya andaa Suti we ni katibu Mkuu wizara ya fedha ujaye ndani ya week kadhaa

    Uteuzi sio siri, si anaenda kuwatumikia wananchi.
  6. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Bila kutangazwa Tenda waarabu wapewa Bandari, Ngorongoro, Mwendokasi na KIA

    Tayari yamesababishwa na ikiendelea hivi baada ya miaka miwili Tanzania litakuwa bomu linalosubiri kulipuka.
  7. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Umeshauri vizuri na sio TEC tuu bali viongozi wa dini zote naamini kutakuwa na matokeo chanya 100% maana hawawazi madaraka ya kisiasa, kuliko kufungamana na wanasiasa wanaowaza upigaji na vyeo.
  8. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Ndiyo wakae pamoja ili hata kama hana uwe uwezo aupate kupitia wenye uwezo.
  9. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Namuona Khamenei mwishoni mwa utawala wake

    Huyu wa nchi ya kusadikika vipi
  10. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Unaonekana una maisha magumu sana jinsi unavyojibu comment za watu.
  11. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Kuwa serious
  12. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi afanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela

    Siasa zikianza kuja huku watu wataanza kulia na hela zao.
  13. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Uzi umejaa ujinga JF waufute tuu
Back
Top Bottom