Recent content by Smith Rowe

  1. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Bila kutangazwa Tenda waarabu wapewa Bandari, Ngorongoro, Mwendokasi na KIA

    Tayari yamesababishwa na ikiendelea hivi baada ya miaka miwili Tanzania litakuwa bomu linalosubiri kulipuka.
  2. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Umeshauri vizuri na sio TEC tuu bali viongozi wa dini zote naamini kutakuwa na matokeo chanya 100% maana hawawazi madaraka ya kisiasa, kuliko kufungamana na wanasiasa wanaowaza upigaji na vyeo.
  3. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Ndiyo wakae pamoja ili hata kama hana uwe uwezo aupate kupitia wenye uwezo.
  4. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Namuona Khamenei mwishoni mwa utawala wake

    Huyu wa nchi ya kusadikika vipi
  5. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Unaonekana una maisha magumu sana jinsi unavyojibu comment za watu.
  6. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Kuwa serious
  7. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi afanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela

    Siasa zikianza kuja huku watu wataanza kulia na hela zao.
  8. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Uzi umejaa ujinga JF waufute tuu
  9. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Nauza YouTube Channel yenye 210,000 Subscribers - TSH Mil 1 Tu!

    Halafu anaiuza milioni 1
  10. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kama sio useng'ee ni nini?
  11. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Utabiri chambichambi
  12. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania I thought we are going to critically analyze the CNN report, but who am i?

    Unauhakika?, yuko active lakini hachangii.
Back
Top Bottom