Umeshauri vizuri na sio TEC tuu bali viongozi wa dini zote naamini kutakuwa na matokeo chanya 100% maana hawawazi madaraka ya kisiasa, kuliko kufungamana na wanasiasa wanaowaza upigaji na vyeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.