Maboksi gani unazungumzia? Kama ni haya ya 3PLY na 5PLY nakupa pole sana, mashine ya corrugator tuu bei uliyoandika haikaribiani hata na nusu, bado hujazungumzia material.
Kwa mbagala wakieza kutoa gari za mwendokasi kila baada ya dk 2 ndiyo wataweza kuhudumia hiyo ruti tofauti na hapo ni mateso tuu, ila route ya Kisemvule to gerezani waiache.
Umeshauri vizuri na sio TEC tuu bali viongozi wa dini zote naamini kutakuwa na matokeo chanya 100% maana hawawazi madaraka ya kisiasa, kuliko kufungamana na wanasiasa wanaowaza upigaji na vyeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.