Recent content by SMARTWEBTZ-net

  1. S

    Naombeni ushauri juu ya namna ya kupanga bajeti na kuiishi!!!!

    Ila tafuta chanzo kipya cha mapato,Nunua hata mchele kwa bei ya jumla umpelekee mkeo auze
  2. S

    Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

    ? Mkuu ya kukodishwa sio mali yako so legalities za kuishika ni tofauti maana kwanza hata mtu akiishika haiuziki....Umesikia?
  3. S

    Nini athari za kupunguza kodi ya kuingiza magari nchini?

    Hakuna sababu ya wananchi wengi kuiliki magari kwa nchi ambayo haina barabara za kutosha
  4. S

    Tujadili kuhusu CSS na HTML hapa

    HTML ni lugha inayowezesha mtumiaji kufuata links yaani inawezesha ukibofya link ambayo ipo inafungua kilichomo kwenye hio link.CSS inaweza kurekekebisha muoneka na mpangilio wa taarifa katia ukurasa wako.HTML-HYPERTEXT MARK UP LANGUAGE NA CSS CASCADING STYLE SHEET
  5. S

    Nauza business plan yenye mchanganuo ulokamilika

    Actually there are consultants who work on those terms and they do not get paid until the work is done.Yaani utagharamikia zile operational costs tu kama nauli and such ila FEES zao ni mpaka baada ama ya break even au at the time when wameshatengeneza viable business.
  6. S

    Boss kuweka mshahara mezani

    Ni utaratibu wake tu kwani anakulipa shingapi?
  7. S

    Natafuta kazi

    Unaweza kazi ya sales and marketing?
Back
Top Bottom