HTML ni lugha inayowezesha mtumiaji kufuata links yaani inawezesha ukibofya link ambayo ipo inafungua kilichomo kwenye hio link.CSS inaweza kurekekebisha muoneka na mpangilio wa taarifa katia ukurasa wako.HTML-HYPERTEXT MARK UP LANGUAGE NA CSS CASCADING STYLE SHEET
Actually there are consultants who work on those terms and they do not get paid until the work is done.Yaani utagharamikia zile operational costs tu kama nauli and such ila FEES zao ni mpaka baada ama ya break even au at the time when wameshatengeneza viable business.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.