Machepele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 288
- 418
Habari zenu wana JF.
Ni kitambo kimepita tangu nimeajiriwa Kwenye kampuni moja la masuala ya printing.
Mwezi wa kwanza kuajiriwa nililipwa mshahara na boss wangu mkono kwa mkono.
Lakini kwa mwezi uliofuata aliweka mezani akaniambia nichukue, nikachukua sikushituka kwa lolote.
Mara ya pili pia akaniita ofisini kwake nikaenda, akahesabu pesa kisha akaweka mezani, hapo ndipo nikaanza kupatwa na ufahamu na kumbukumbu za mishahara ya nyuma.
Mara ya tatu, boss alifika akaweka pesa mezani akatoka alipofika nje akapiga simu kuwa pesa ipo mezani nitachukua.
Wakuu nimeamua nije kwenu walau nipate ufafanuzi juu ya hali kama hii, ni nini maana yake? Vipi hii ni dalili mbaya juu ya ile pesa. MSAADA.
Wenu mtiifu
MJUZI WA JUZI
Ni kitambo kimepita tangu nimeajiriwa Kwenye kampuni moja la masuala ya printing.
Mwezi wa kwanza kuajiriwa nililipwa mshahara na boss wangu mkono kwa mkono.
Lakini kwa mwezi uliofuata aliweka mezani akaniambia nichukue, nikachukua sikushituka kwa lolote.
Mara ya pili pia akaniita ofisini kwake nikaenda, akahesabu pesa kisha akaweka mezani, hapo ndipo nikaanza kupatwa na ufahamu na kumbukumbu za mishahara ya nyuma.
Mara ya tatu, boss alifika akaweka pesa mezani akatoka alipofika nje akapiga simu kuwa pesa ipo mezani nitachukua.
Wakuu nimeamua nije kwenu walau nipate ufafanuzi juu ya hali kama hii, ni nini maana yake? Vipi hii ni dalili mbaya juu ya ile pesa. MSAADA.
Wenu mtiifu
MJUZI WA JUZI