Recent content by smart introvert

  1. smart introvert

    Natafuta Nyumba Goba au Mbezi bajeti yangu ni 150k - 250k

    Habarini wadau, Natafuta nyumba maeneo ya Goba, au Mbezi Shule hadi Mbezi Makonde. Nyumba iwe ndani ya geti na chumba, sebule,jiko na choo. Bajeti yangu ni kuanzia 150k - 250k . Kwa mwenye msaada au anafahamu wapi naweza pata, karibu.
  2. smart introvert

    Ni sehemu gani nzuri ya kutembelea kwa hapa Dar?

    Daaaah ahsante sana Omunu, hakika umenena vyema. Ntafanyia kazi niweze fika baadhi ya hizo sehemu.
  3. smart introvert

    Ni sehemu gani nzuri ya kutembelea kwa hapa Dar?

    Habari yenu wana JF, Tunapoelekea mwishoni mwa mwaka, mimi nmefanikiwa kuweka kuvunja kakibubu kangu na nataka angalau niweze kutembelea sehemu tofauti tofauti hapa Dar ambazo cost zake sio kubwa ila ni nzuri kwa kupumzika na "kurefresh" akili. Kwa ambae anafahamu sehemu nzuri hasa za asili (...
  4. smart introvert

    Msaada ; Natafuta nyumba ya kupanga

    Habarini wanajamii forum, Nakuja mbele zenu kijana wenu mdogo kuomba msaada. Natafuta chumba cha kupanga chenye sebule na chumba kimoja tu maeneo ya mawasiliano, survey, sinza au makumbusho. Chumba kiwe ndani ya geti na bajeti yangu ni 200k-250k. Ahsanteni, karibuni DM [emoji120]
  5. smart introvert

    Dada wa barbershop na kinyozi anatafutwa ( tangazo kwa awamu ya pili)

    Habari zenu wanaJF? Nakuja mbele zenu nikiwa na nafasi mbili za wadada na vinyozi ambao watakuwa tayari kufanya kazi katika barbershop iliyoko maeneo ya kawe. Kwa maelezo zaidi waweza mtext mhusika kwa namba 0744898405 ( anaomba ntume sms na sio kupiga)
  6. smart introvert

    Nafazi za kazi ya kinyozi na dada wa barbershop

    Habari zenu wanajf ! Nawasalimu kwa jina la jamhuri ! Barbershop iliyopo maeneo ya mikocheni inatafuta kinyozi mmoja na mdada mmoja kwa ajili ya majukumu ya barbershop. Sifa wawe ni watu wanaojua kazi yao vizuri na wenye uzoefu na barbershop au saloon kubwa. Kama una vigezo au kuna mtu...
  7. smart introvert

    Hasara zipi unazipitia kwa kuwa na tabia za introvert?

    Kushindwa kujichanganya na watu ambao kwa namna moja au nyingine khna faida kufahamiana nao na pia kushindwa kutoa hisia zangu kwa mtu nnayempenda. Changamoto nyingine ni kushindwa kuja ma majibu ya haraka katika muda ambayo yanahitajika kwani nachukua muda mrefu kuprocess taarifa na kuja na...
  8. smart introvert

    Naomba kuelezwa kuhusu Shahada ya Uzamili ya Public Health

    Habari zenu? Naomba kujua gharama za kusoma MPH
  9. smart introvert

    Ni kampuni ipi bora ya uchapishaji vitabu?

    Habari zenu wana JF? Nakuja mbele zenu kuomba msaada kwa ambao washawahi kupublish vitabu au wana uelewa juu ya kampuni zipi hapa Tanzania ambazo ni nzuri kwa kuchapisha vitabu. Kuna Serengeti Bytes, Mkuki na Nyota Publishers na wengine wengi ila sijajua yupi anafanya kazi kwa ubora zaidi...
  10. smart introvert

    Natafuta rafiki wa kike

    Sawa mkuu,ni mtazamo wako nauheshimu [emoji120]
  11. smart introvert

    Natafuta rafiki wa kike

    Naitwa smart introvert, nakuja mbele zenu kutafuta rafiki wa kike ambae tutabadilishana mawazo na kujenga urafiki mzuri. Umri wangu miaka 28 na nafanya kazi kampuni moja. Naishi Dar na ni mkristo. Naomba rafiki awe wa kike,mpenda maendeleo,angalau awe na elimu ya diploma, dini zote ila mkristu...
Back
Top Bottom