smart introvert
Member
- Feb 15, 2013
- 64
- 109
Habarini wadau,
Natafuta nyumba maeneo ya Goba, au Mbezi Shule hadi Mbezi Makonde. Nyumba iwe ndani ya geti na chumba, sebule,jiko na choo.
Bajeti yangu ni kuanzia 150k - 250k .
Kwa mwenye msaada au anafahamu wapi naweza pata, karibu.
Natafuta nyumba maeneo ya Goba, au Mbezi Shule hadi Mbezi Makonde. Nyumba iwe ndani ya geti na chumba, sebule,jiko na choo.
Bajeti yangu ni kuanzia 150k - 250k .
Kwa mwenye msaada au anafahamu wapi naweza pata, karibu.