smart introvert
Member
- Feb 15, 2013
- 64
- 109
Habari zenu wana JF?
Nakuja mbele zenu kuomba msaada kwa ambao washawahi kupublish vitabu au wana uelewa juu ya kampuni zipi hapa Tanzania ambazo ni nzuri kwa kuchapisha vitabu.
Kuna Serengeti Bytes, Mkuki na Nyota Publishers na wengine wengi ila sijajua yupi anafanya kazi kwa ubora zaidi.
Naomba kuwakilisha
Nakuja mbele zenu kuomba msaada kwa ambao washawahi kupublish vitabu au wana uelewa juu ya kampuni zipi hapa Tanzania ambazo ni nzuri kwa kuchapisha vitabu.
Kuna Serengeti Bytes, Mkuki na Nyota Publishers na wengine wengi ila sijajua yupi anafanya kazi kwa ubora zaidi.
Naomba kuwakilisha