Recent content by Sizinga

  1. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Fahamu kwanini baadhi ya ofisi hupendelea kuweka maua ya asili

    Hii mimea ikipandwa kwenye makazi ina fanya kama ukivyoandika hapo? Au ni kwa Ofisini tu
  2. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Leo nimegundua kitu kimoja, kuvuka barabara si kitu kidogo!

    Juzi kuna askari wawili wamekatishwa maisha yao kwenye haya matukio... Magari yamesimamishwa ili watembea kwa miguu wavuke...Noah imetokea ilikotokea dereva ana haraka akayavuka magari yaliyosimama mwishowe kaenda kuwagonga askari wawili ambao wote walifariki
  3. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa simulizi za mnyama kobe

    Haya mambo ya panzi ana miguu mingapi ndo yalitutoa mchezoni kwenye elimu yetu... Nina miaka mingi sijawahi tamka wala kumuona Kobe... So hana faida za kumjadili kabisa
  4. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Any link to verify this info plz
  5. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Ndoa yangu; mguu nje, mguu ndani

    Kwani akipata ela kwenye haso zake anakushirikisha? Au ni kimya kimya tu? Kwa stori yako sijaona shida bado
  6. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Kipi katika hivi unaamini visingekuwepo, tungeishi kwa afadhali kuzidi sasa

    Hata hizi imani za kina Mwamposa ni matokeo ya ushirikina uliokuwepo kwenye jamii... Kila mtu mwenye kukosa jambo fulani anaamini amerogwa na wahuni wanapitia humohumo
  7. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Kipi katika hivi unaamini visingekuwepo, tungeishi kwa afadhali kuzidi sasa

    Uchawi, Ushirikina, vigagula.. Agh vimeturudisha nyuma sana aiseee
  8. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Je, unajua distraction ndio adui mkubwa wa maisha yako ?

    Kwa maisha ya sasa kukaa masaa 2 au 3 bila simu is nearly impossible
  9. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Senegal yamtimua kocha Pape Thiaw na benchi lake la ufundi

    Best coach... Watamrudisha tu ni suala la muda
  10. Sizinga

    JamiiForums Tanzania We" uliwezaje kujinasua sehemu uliopenda" sana

    Una umri gani? Hapa duniani ukimpenda baba na mama inatosha, vingine ni ziada na kujipa stress tu
  11. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya ndoto zangu(my dream house)

    Hayo mazingira yanapatikana mikoani, tena sehemu chache sana zilizobakia, make sure you own one
  12. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Trump asema Marekani itashambulia Iran 'vibaya mno' usiku wa leo

    Kwani lazima atuambie si achukue tu
  13. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Bruh jiheshimu kamwe usi Double text Huyo sio mwanamke peke yake Duniani

    Wapo unique sistaz akizingua lazima uumwe
  14. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Watu wengi huwa wanalala vyooni

    Dah JF inacomplicate mambo sana... Choo ndani ya chumba na chumba ndaniya choo ndo nn sasa
Back
Top Bottom