Juzi kuna askari wawili wamekatishwa maisha yao kwenye haya matukio... Magari yamesimamishwa ili watembea kwa miguu wavuke...Noah imetokea ilikotokea dereva ana haraka akayavuka magari yaliyosimama mwishowe kaenda kuwagonga askari wawili ambao wote walifariki
Haya mambo ya panzi ana miguu mingapi ndo yalitutoa mchezoni kwenye elimu yetu...
Nina miaka mingi sijawahi tamka wala kumuona Kobe... So hana faida za kumjadili kabisa
Hata hizi imani za kina Mwamposa ni matokeo ya ushirikina uliokuwepo kwenye jamii... Kila mtu mwenye kukosa jambo fulani anaamini amerogwa na wahuni wanapitia humohumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.