Dah JF inacomplicate mambo sana... Choo ndani ya chumba na chumba ndaniya choo ndo nn sasa
Habari,
Nimegungua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.
Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Lengo la ensuite ni kuondoa uhitaji wa mtu kutoka chumbani ili kupata huduma ya choo. Unachoshauri kinsrudi kule kule kutoka nje ili uende chooni,yaani tutumie kile choo cha wote koridoni. Acha ku complicate maisha.Habari,
Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.
Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Huna akili mavi wewe!Habari,
Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.
Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Punguza jazba!Huna akili mavi wewe!
Chat gpt anasemajeHabari,
Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.
Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Hat mimi situmii hayo majiKuna mwanakijiji mshamba alikataa kutumia maji yaliyotokea bomba la chooni akidhani yametokea kwenye shimo la choo. Ni kweli watu wengi huishi chooni