Watu wengi huwa wanalala vyooni

Watu wengi huwa wanalala vyooni

Habari,
Nimegungua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.
Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha

Chumbani hakuna choo bali kuna sehemu ya kupokelea choo na kinasafirishwa kwenda kwenye choo ambapo ni Nje kabisa ya nyumba.
Sasa sehemu ya kupokelea choo, unaweza kudesign unavyo ona inafaa ILA ni kweli kuwa mlango ukielekea nje/kwenye corodor ni vizuri zaidi
NAFIKIRI NI KUKOSA UELEWA KWA KUAMINI KUWA SEHEMU YA KUPOKELEA CHOO NDIO CHOO, NI SAWA NA MTU KUITA MTO KUWA NDIO ZIWA AU BAHARI, wakati mto unapitisha tu maji kwenye Ziwani/baharini.
 
Habari,

Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.

Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Lengo la ensuite ni kuondoa uhitaji wa mtu kutoka chumbani ili kupata huduma ya choo. Unachoshauri kinsrudi kule kule kutoka nje ili uende chooni,yaani tutumie kile choo cha wote koridoni. Acha ku complicate maisha.
20260604_134705.jpg
 
Hahah, mm nikiamka tu kutoka kitandani nikafungua macho nauona mlango wa Choo 😅.

Kuna nyumba flani nilikua nimepanga, Yule ndo aliweka atleast, Choo kipo mlangoni wa kuingia chumbani.

Means, hata alieko sebleni anaweza enda toi bila kuingia chumbani
 
Habari,

Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.

Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Huna akili mavi wewe!
 
Chat
Habari,

Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi hujengwa kwa kuweka chumba kwenye choo. Yaani nikimaanisha watu wengi wanalala kwenye vyumba vyenye muingilino wa namna moja au nyingine na choo.

Ushauri: wachora ramani na wamiliki wa nyumba ziwe za biashara au binafsi wajitahidi kutenganisha vyumba hivi. Kila kimoja kiwe na mlango unaojitegemea kuelekea nje au kwenye korido.
Nawasilisha
Chat gpt anasemaje
 
😁😁 Kwaiyo unataka kumaanisha nini?

Ila hii ipo kwa developers wetu wa bongo wanajenga kibishara zaidi, developers wa nje apartment ya one bedroom choo hakipo chumbani kabisa kina mlango wake kama milango mingine
 
Back
Top Bottom