Hii issue nimekutananayo pia ikabidi niende sehemu nilipo nunua umeme wa kwanza nikaambiwa Nina deni ingali mita ina miezi mitatu nikaambiwa nideni la toka mwaka wa serekali umeanza mwezi wa 7 mwaka 2025 natakiwa nilipe deni la miezi kumi ndio niweze kununua umeme na mind you mita ina miezi...
Ni vizuri ukaweka details zote hapa
Kama mahindi mapya bei ni 800 kwa kg
Mahindi ya zamani bei yake ikoje ?
Apo kibaha kuna kiwanda cha wachina unatoka na mahindi ukijua Kuna soko la uhakika ukifika nayo wanakuomba pesa ya udalali ili mzigo wako ununuliwe
Kwenye izi fursa inahitaji umakini wa...
Si ndicho walicho sema ivi taarifa za bwala la nyerere sikuizi mbona zipo kimya ata TBC tu wameacha kuonyesha zile makala zinazo elezea mradi
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Wakuu heshima kwenu aisee nimemkumbuka baba japo alikuwa mkali ila umuhimu wake ulikua mkubwa sana malezi ya mama sasa eeeh atuna budi kufuatisha yale anayo tuambia mama.
- Nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi vipi uko tunaomba mrejesho kote bara na visiwani tujue.
- tozo mbona atuambiwi...
Nakumbuka enzi izo ilikua kila baada ya li saa inatuharibikia kufika mikumi likagoma na kuendelea na safari service toka morogoro mjini ndo kidogo ikasaidia tukafika dar saa 7 toka mbeya iyo ni 2006
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.