Yaan uwaalimu ni kazi yenye watu wasio jithamini wenyewe ,serkali haiwathamini, kazi kuwapangia majukumu mengi yaani mwalimu ni muhusibu wa shule,ni mshauri wa wanafunzi, yeye mwenyewe afundishe darasan, aandae lesson plan kwa kila darasa, aandae scheme of work, aakikishe eneo LA shule safi, yan...