Jamani ,wanajamvi, ni jinsi gani unaweza kumshitaki mwajiri ( mkurugenzi wa shule) kwa kutokulipa mshahara zaid ya mwezi 6.

siza joel

Member
Jul 22, 2014
40
19
Jamani Mimi ni mwalimu wa shule moja ya binafsi, nmefanya kazi mwaka mmoja na miezi mitatu sasa , lakini nnadai mishahara ya miezi 8 mpaka sasahv, naomba msaada njia ya kisheria jinsi ya kuzipata pesa zangu kwa haraka ,maana mwajiri anasema siwezi mfanya chochote popote ntakapo kwenda.
 
Miezi minane mbona mingi sana?!!
Una mkataba wa ajira? Kama unao nenda Mahakama ya usuluhishi wa migogoro ya kikazi.
Ipo jengo la Red Cross barabara Bibi Titi. Ghorofa ya Tatu kama upo Dar lakini.
 
Miezi minane mbona mingi sana?!!
Una mkataba wa ajira? Kama unao nenda Mahakama ya usuluhishi wa migogoro ya kikazi.
Ipo jengo la Red Cross barabara Bibi Titi. Ghorofa ya Tatu kama upo Dar lakini.
Hata kama mleta uzi yuko Mbeya aje Dar jengo la Red Cross?? Unadhani kila mtu yuko Dar.
Hata kama huna mkataba siza joel nenda ofisi za kazi zilizo karibu na wewe.
 
Hata kama mleta uzi yuko Mbeya aje Dar jengo la Red Cross?? Unadhani kila mtu yuko Dar.
Hata kama huna mkataba siza joel nenda ofisi za kazi zilizo karibu na wewe.
Soma mpaka mwisho nilicho andika. Nimemuambia hayo maelekezo ni iwapo yupo Dar.
Punguza mihemko hata kwenye jambo lisilo na tija yoyote kwako!!
 
Dah yan acha tu ndo maana sa hv nkiitwa na shule kazma nijue ulipaj wake n bora niuze karanga kuliko kupoteza mda wote huo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom