Nikweli kabisa mimi mwenyewe kuna mmoja alisumbua sana lakini baada ya kukosana na mume wake mwenyewe akaja kuniomba namba yangu wakati mwanzo niliomba namba yake alikataa kabisa mimi nikamwambia mbona mume wako anayo namba yangu anaweza kukupa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.