Povu loote hilo, maanake ni kwamba unatumia vyeti feki!Mnalikitarajiwa liwe hadi sasa na kesho halitakuwa. Kwani ninyi ni mamlaka ya kuoneshwa vyeti!
Labda, kila anayetaka kuona hivyo vyeti akioneshavya kwake, mnaweza kumfuata kwake ofisini awaoneshe vya kwake.
Ni utoto tu mnaoufanya, kama vile kasuku kurudia hilo hilo
Kitendo tu cha kusema 'ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi' ni UNAFIKI na kukwepa kiini cha tatizo. Kuna haja gani ya kulialia na kuomba huruma ikiwa wote tunawafahamu na tabia zao tunazifahamu?Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa, kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan, ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi, ili kila mtu anajua anavyotafsiri,
lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini, ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo, kila kukicha vyeti vyeti, mfukuze wewe basi kama una mamlaka, na pia serikali ina intelejensia kubwa kuliko ww, kama ni feki ama si feki mtajua tu
Unataka asamehe?Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa, kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan, ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi, ili kila mtu anajua anavyotafsiri,
lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini, ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo, kila kukicha vyeti vyeti, mfukuze wewe basi kama una mamlaka, na pia serikali ina intelejensia kubwa kuliko ww, kama ni feki ama si feki mtajua tu
Mbona gwajima alipolala central ukimtetea?Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa, kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan, ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi, ili kila mtu anajua anavyotafsiri,
lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini, ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo, kila kukicha vyeti vyeti, mfukuze wewe basi kama una mamlaka, na pia serikali ina intelejensia kubwa kuliko ww, kama ni feki ama si feki mtajua tu
Kwanza vya DAUDIToa vyako....
Vyeti vina majina tofautitofauti akiweka ni AIBU sana.Sasa naanza kupata wasiwasi kama kweli ana vyeti aviweke hadharani kwani vyeti ni uchawi.
Weka mezani vyako tuvione, wengine mmetaga kila sehemu.Vyeti ndio habari ya mjini...
Daud Albert Bashite!!
Kwani ndo Daudi A. BashiteToa vyako....
TUNAHITAJI VYETINaanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa, kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan, ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi, ili kila mtu anajua anavyotafsiri,
lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini, ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo, kila kukicha vyeti vyeti, mfukuze wewe basi kama una mamlaka, na pia serikali ina intelejensia kubwa kuliko ww, kama ni feki ama si feki mtajua tu
Wanasema amerudi Mkuu! Inashangaza kuona watu wanamlaumu Gwajima. Ukweli uwekwe wazi na wananchi maana Serikali inakumbatia wababaishaji. Kweli pekee itamuweka huru Daudi.Jinai hainaga msamaha ndiyo maana Bashite ametorokea South Africa.
Hapa cheti tu
Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa, kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan, ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi, ili kila mtu anajua anavyotafsiri,
lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini, ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo, kila kukicha vyeti vyeti, mfukuze wewe basi kama una mamlaka, na pia serikali ina intelejensia kubwa kuliko ww, kama ni feki ama si feki mtajua tu