Recent content by sitaki-shari

  1. S

    Prof. Muhongo kama ni speed basi anatumia mtandao wa 4G

    Mwanainchi la leo limeandika ziara yake ya Tanga
  2. S

    Tigo leo mmeniharibia sana

    Bukoba pia ivyo ivyo afu cha ajabu kuanzia sa1 usiku huu internet inafanya kaz vzur lkn sms na simu hazitok wala kuingia
  3. S

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    Jaman kuna mdongo angu ndo kafaham jana kama kuna kuthibitisha na muda ushaisha afanyaje?
  4. S

    Mwenye ufahamu kuhusu special diploma UDOM

    Jmn kuna mdogo angu hajathibitisha anakuja kufaham mda umeisha je afanyaje?
  5. S

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Mleta mada nahis hujuag kawaida ya ajali, ajali ni kitu kingine tukae tukiomba tu Mungu atuepushe na ajali lakin pia atuepushe na madhara yatokanayo na ajali
  6. S

    Vpl leo tar 13/09/2015 Uwanja wa Taifa, Yanga vs Coast Union saa 10:00 Jioni

    Asanten wote kwa updates mlizokua mnatupatia
  7. S

    Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

    Wewe dada kwel una mapenz na Ally K, Mungu azid kukupa upendo huohuo juu yake
  8. S

    Hadi wewe Ali Kiba hii ni aibu na fedha

    Msimjaj kisa mapenz yake katika siasa ata angetumbuiza cdm kuna mashabik wake ccm wangemchukia so km mnampenda kwa kaz zake endeleen kumpenda
  9. S

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Apo kuna mawili lakwanza ni confidence km si ilo bas ni msosi ale vyakula vya kueleweka na ashibe hasa aache chips mayai
Back
Top Bottom