Tigo leo mmeniharibia sana

Tigo leo mmeniharibia sana

TiGo-express yourself
Smile you are with Tigo😂😂😂
Leo cjui wenye ndoa zao itakuaje???
Michepuko na small houses leo wanafurahije 😁😁?? Visingizio vitakuwa like "baby leo tigo hawapatikani" ...
So, wenye mahusiano leo kazi ipoooo👊👐

Hahaha haha
 
Bukoba pia ivyo ivyo afu cha ajabu kuanzia sa1 usiku huu internet inafanya kaz vzur lkn sms na simu hazitok wala kuingia
 
Isije kua ina uhusiano na agizo la Mh Rais la kuhakikisha makampuni makubwa yanalipa kodi!
 
Tigo wameninyima hela mm nilibet mkeka wangi ile nataka kuulipia kupitia tigo pesa ndo waondoa mtandao
 
Toka asubuhi huku nilipo simu haziingii wala haziendi,sms pia, tgo pesa ndio kabisaa!.. Mbaya zaidi siku ya leo nilikuwa na mihadi na mtu kila nikimpigia Sim inakata, nimebadilisha line ni hivyo hivyo mpaka muda huu ninavyoandika hapa......

Cha ajabu hakuna notification yeyote mliyotupatia wateja wenu ili kuonyesha mnajari na mmegundua uwepo wa tatizo na mnaendelea kurekebisha,
Yaaani nyie mnaona ni kawaida tu hali kama hii,
Ila fresh tu najua nitakachowafanya mda si mrefu. .

Wasamehe bule mkuu,kwa wasiofahamu,ni kuwa baada ya makampuni ya TIGO na VODACOM,kuuza(kubinafsisha vitengo vya power) minara yao kwa kampuni ya HELLIOS TOWERS,utendaji na ubora wa huduma umepungua sana,

HELLIOS TOWERS,inasimamia vitengo vyote vinavyohusu nishati ya umeme kwenye minara ya TIGO na VODA,kama mafuta(diesel),vipuri,majenereta,usalama wa mitambo,

Sasa tatizo kubwa sasa hv ni upatikanaji wa diesel,kutokana na umeme wa Tanesco kuwa na matatizo,herrios anaomba mafuta kutoka VODA na TIGO,harafu yeye anayagawa kwa makampuni mengine yanayo simamia minara,kwaiyo mafuta yakitoka kidogo,yeye mwenyewe HELLIOS,ili apate faida ya kuendesha shughuri zake,atanunua mafuta kidogo,kwaiyo hata minara itapata mafuta kidogo,na kama umeme wa GRID,haupo,mitambo itazima,na ndio maana network inapotea,

kwa ufupi ni usimamizi mbovu wa huyu dalali HELLIOS TOWERS,NI bora kipindi kile,makampuni yalikuwa yana deal na TIGO au VODA mojakwa moja,AIRTEL alishitukia usanii huu,akagoma kuuza minara yake,
Mbeya,mbozi mpaka Tunduma,leo hakuna mtandao wa tigo,kuanzia saa 12jioni,kwa sababu mnara mkubwa wa TIGO tunduma,umezima,mafuta yameisha,
 
Toka asubuhi huku nilipo simu haziingii wala haziendi,sms pia, tgo pesa ndio kabisaa!.. Mbaya zaidi siku ya leo nilikuwa na mihadi na mtu kila nikimpigia Sim inakata, nimebadilisha line ni hivyo hivyo mpaka muda huu ninavyoandika hapa......

Cha ajabu hakuna notification yeyote mliyotupatia wateja wenu ili kuonyesha mnajari na mmegundua uwepo wa tatizo na mnaendelea kurekebisha,
Yaaani nyie mnaona ni kawaida tu hali kama hii,
Ila fresh tu najua nitakachowafanya mda si mrefu. .

Usijali utapewa dk 5 mb 8 na SMS za bure kesho za kupooza maumivu 😛
 
Mimi toka saa sita nimeganda tu Guest mtoto hupatikan hewani. Chumba nimeshalipia na mtoto mwenyewe nimemfukuzia mwaka wa tano huu, Jana ndio kanikubalia leo nikapige shoo kutwa nzima kwa kua kesho atasafiri kwenda nje kusoma.

Nilifikiria hata Nipige substitute kwa michepuko yangu mengine ili hela ya chumba isiende bure lakini wote bahati mbaya wako Tigo nao na muhudumu kagoma kurudisha hela. Leo kweli NIMEWEZWA

Hahahahaha
 
Yani tigo kesho cjui waseme nn nitawaelewa labda wanipe Customer Care wao nijipoze" wamenifanya nikose game kizembe hiv hv
 
Leo ndo mtaona umuhimu wa ma-Engineer!watu huwa wanadhani mambo yanajiendesha yenyewe kumbe kuna watu hawalali.
 
Hatimaye wamerudi hewani, ila nipo sehemu fulani, ngoja niidisable line ya tigo ili kisingizio kiendelee
 
Mimi toka saa sita nimeganda tu Guest mtoto hupatikan hewani. Chumba nimeshalipia na mtoto mwenyewe nimemfukuzia mwaka wa tano huu, Jana ndio kanikubalia leo nikapige shoo kutwa nzima kwa kua kesho atasafiri kwenda nje kusoma.

Nilifikiria hata Nipige substitute kwa michepuko yangu mengine ili hela ya chumba isiende bure lakini wote bahati mbaya wako Tigo nao na muhudumu kagoma kurudisha hela. Leo kweli NIMEWEZWA

Hawa jamaa wametuharibia sana weekend hii. mi nilishatengeneza mazingira hom ili nikapige nje cup. mwisho wa siku nimejikuta nalala ugenini bila faida yoyote
 
Zanzibar pia.. No tigo.. Kama una salio tigo pesa na umedownload kwa google play Internet use hamisha pesa yako kwa bank. Inakubali. Nimezikwangua aisee
 
Back
Top Bottom