Kutokana na mazingira ya hapo juu hiyo si kubaka,
Sheria ya makosa ya jinai katika sehemu ya 130 ime elezea kubaka kama kitendo cha mtu kufanya mapenzi na mwanamke bila ridhaa yake
Lakini imeendelea kwa kusema kuwa mazingila hayo hayatokei kwa mume na mke
Hivyo basi mume hawezi kumbaka mkewe...
Simulizi yako haina mashiko
Pale ulipo sema ijumaa wachawi aw logi kwasababu ya uwapo wa mikutano ya kilokole siku hiyo, sioni kama kuna ukweli maana ulokole hasa nchi zetu hizi umekuja juzi tu na uchawi upo tangu enzi sasa ijumaa kabla ya ulokole walokua wanaloga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.