Unajifanya huabudu freemason?

Unajifanya huabudu freemason?

Status
Not open for further replies.

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,796
Reaction score
858,576
1435337903898.jpg 1435337920647.jpg

Football na Sinema ni pando la Freemason na viingilio ulipavyo ni sadaka.

Angalia hii;

Vyama karibia vyote vya mpira wa miguu havikosi neno football. Halafu fikiria kuhusu Hollywood, Nollywood, Bollywood na sasa Bongowood na zote zinafanya vizuri yaani zinauza sana.

Vitu vidogo visivyo na mantiki lakini jaribu kuunganisha dots.
 
Najua mkuu Mshana Jr. Sema football imenishika pabaya, nahitaji maombi. Hivi hata kuangalia kwenye Vibandaumiza ni sadaka? Je kutazama na kushabikia ni ritual?
 
Last edited by a moderator:
Najua mkuu Mshana Jr. Sema football imenishika pabaya, nahitaji maombi. Hivi hata kuangalia kwenye Vibandaumiza ni sadaka? Je kutazama na kushabikia ni ritual?

Si unalipa kiingilio lakini? Kushabikia ni ufuasi kitu unachojitenga nacho huwezi kukishabikia
 
Last edited by a moderator:
1435339787081.jpg chama cha mpira kilizinduliwa tar 26 hii sio bahati mbaya angalia cheo cha juu kabisa kina watu 13 hao ndio top layer kwahiyo chukua 26÷2=13 au 13×2=26
 
Matajiri wengi duniani wako under freemason hata baadhi ya radio station USA zinamilikiwa nao.hawa watu ni noma wana asili ya jew
Kwa ujumla kila kitu tunachotumia magari gas chakula nk lazma mkono wao umepitisha. Ni ngumu kuwakwepa
 
Hata booty........mood.......smoothie....zote ni freemason..........
 
Mjitu inayo fikiria hadithi za freemason niwashirikina sana
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom