The moment you were out, is the moment your mother leave the world
First happy birthday to you.. Second let's our mother rest in an eternal
All we human being and we will return to Allah, her forward is our backwards
Enjoy the first day and sorrow the loss for ur beloved mama
Sent using Jamii...
Pole sana mkuu...
Mimi ni mmoja wahanga wa PCB... Kiukweli hiyo comb kama inakushinda achana nayo maana huko form six ndo usiseme... Namshukur Mungu Kwa kumaliza salama na kupasua vizur....
Ni swala la mda tuu...
Pole sana mkuu
Mara nyingi vyuo vya private vipo kibiashara zaidi na ndio maana unaona promotion. Sababu system ya udahili imebadilishwa kila chuo cha private kinatumia mbinu kuvutia wateja hususani kwenye magazeti
Kinachotakiwa mtulize huyo kijana wako mwambie asubiri matokeo ndio process...
Habari za sikukuu ndugu zangu wakuu
Hope Bila Shaka mko poa na ujenzi wa taifa.. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo mimi ni kijana wa miaka 29 ninatafuta mwenza ambaye baadae awe mke wangu.
Muhusika awe na tabia njema na pia sichagui rangi wala kabila, awe muslim by religious belief...
Nilikuwa nakula embe hapa maeneo ya ubungo Sasa Ile kupitia darajani bhana nikakutana na dogo wa primary nadhan alikua Anaelekea kwao kutoka shule, dogo akaniomba pesa ikabidi nimpe embe tuu maana nilijua huyu anaogopa kuomba embe... Mtu mzima na ndevu zangu nikamwachia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.