Uko sawa kabisa.
Kuna vitabia mpaka mwenyewe sijui nimevitoa wapo. Kudakia mada za watu ndio kabisa. Ila hilo la kusahau sahau kwangu halipo.
Ya kuingiliwa kirahisi na jini mahaba limenishtua mno!!!
Bora kujenga mwenyewe but kuwa makini na usimamie mwenyewe. Ukimuachia mtu asimamie utashangaa mwisho wa siku nyumba yako inakamilika na ya msimamizi wako nayo inakamilika teh teh.
Asante kwa taarifa. Lakini matapeli sometimes hawafikirii sana. kama mtu ameshinda 1 milion, si anawaambia hiyo hela wanayotaka watumiwe wakate kwenye hiyo milion aliyoshinda. Then inayobaki wakutumie mshindi.
umenikumbusha rafiki yangu wa Bukoba. Alishangaa kuona watu wa Dar wanakula matembele wakati kwao wanawapa ng`ombe. Lakini baadae alianza kula matembele.
Siyo dalili ya njaa. kuna usemi kwamba tesource kwako inaweza isiwe resource kwangu. Ndio kama hivyo kuna jamii zinginea zinakula mbegu za fenesi na kuna jamii nyingine hawajui hata kama zinaliwa. Kuna some factors zinazofanya kitofautiana kwa resource kati ya jamii moja hadi nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.