jaman namshukuru mungu kwa kunipatia kazi mana nimezunguka sana dah!jamani msikate tamaa mungu ndiye muweza wa yote ukimtegemea hakuachi.
nashukuru sana members jaman kwa ushirikiano wenu hatimae nimepata kaz.jaman msikate tamaa mtegemeen mungu hawezi kuwaacha hata siku moja.
Hongera mkuu post gani?
du...ma hr wanapiga mti!!!!hr ndugu yang.
hr ndugu yang.
nashukuru sana members jaman kwa ushirikiano wenu hatimae nimepata kaz.jaman msikate tamaa mtegemeen mungu hawezi kuwaacha hata siku moja.
kuna post mpya zimetoka! au zile za november 20 ndio unakuja kushuhudia leo? au umehakikishiwa na waliokufanyia usahili juzi?jaman namshukuru mungu kwa kunipatia kazi mana nimezunguka sana dah!jamani msikate tamaa mungu ndiye muweza wa yote ukimtegemea hakuachi.