Mie nakushauri kama una utaalamu wa kujenga,jenga tena simamia mwrnyewe.....ukimweka mtu kusimamia kuna uwezekano aka mishandle cash....so kama huna utaalamu.nunua tu my dia....atleast unaridhika na standards za hio nyumba unayotaka kununua......kama huna uhakika tafuta mtu anayejua majengo uende nae akague kabla ya kufanya manunuzi.
Bora kujenga mwenyewe but kuwa makini na usimamie mwenyewe. Ukimuachia mtu asimamie utashangaa mwisho wa siku nyumba yako inakamilika na ya msimamizi wako nayo inakamilika teh teh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.