Mbona hii kesi haina uhusiano na uliyoyataja juu kwa akili zako timamu unaoa halafu unamtambishia Mkeo michepuko na mademu halafu unataka kisinuke? Achekelee tu kwa Habari kama hizo na unahitimisha kwamba ufiche taarifa muhimu kwenye Familia kwa kesi kama hii?
Alipokuwa anafanyia kazi na kuishi waliohusika na kazi alipewa mtu aitwae Kelvin kwa kushirikiana na Valens na wengine ambao sijawatambua kumhoji mpaka leo kimya ndugu yetu hajjlikani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.