Recent content by Simple F

  1. Simple F

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Cha msingi asimtafute, akiweza kumkaushia amejipunguzia shida
  2. Simple F

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Sasa wewe ndo inabidi ujisimamie Kumbe Songea hapa hapa inabidi tufanye jambo
  3. Simple F

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Furahia kwa sababu ameishajifungia Milango ya kukusumbua tena
  4. Simple F

    Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

    Mkuu niunge telegram kama hutojali naomba namba yako pm tumalizie taratibu zingine
  5. Simple F

    Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

    Hicho kiunganishia unawez kuchomokea humo kwamba umemis hata mtoko au kitu fulani jaribu kurahisisha maisha
  6. Simple F

    Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

    Tatizo tukiwa straight mnaleta stori za mi siyo kama wengine, mara mimi sio malaya au mara unanichukuliaje kwa mfano
  7. Simple F

    Ukiona anasita au hataki kukuoa daka ujauzito halafu goma kuutoa, atakuoa tu

    Huu ushauri uliwaponza wengi kabla ya kubeba hakikisha mmekubaliana
  8. Simple F

    Kauka nkuvae ya Gamondi inaijeruhi Yanga

    Jamaa wangekatiwa mawasiliano kati wasingesumbua angalia jamaa walikuwa hawarudi kati ndo maana wakawasambua sana coz muda mwingi walikuwa wengi mbele
  9. Simple F

    Kauka nkuvae ya Gamondi inaijeruhi Yanga

    Kocha ni muoga wa sub kuanzia dak 78 alitakiwa kufanya za viungo hata kupunguza beki ili apate nguvu mpya kati ya kufanya pressing
  10. Simple F

    Serikali inakosea sana kuwatenganisha Kikazi Wanandoa

    Tatizo ushakosa amani ya moyo ht kwa kujiliamizisha ni ngumu Sana coz huwez kuwa na upendo nae tena watu hawajui Mke anaumaa jamani. Mi kumsamehe ni ngumu sana
  11. Simple F

    Tatizo la Manchester United ni nini haswa?

    Nakubaliana wewe Mkuu je, ukosefu wa ushindani wa namba unachangia viwango kuwa chinii mfano Rashford ameridhika anacheza kifazaa khs Maguire sio mbaya shida bei yake haiendani kabisa ilichangiwa na Uingerez wake
  12. Simple F

    Tatizo la Manchester United ni nini haswa?

    Mount ni kielezo tu tunaanzia usajili wa Maguire kwa gharama kubwa ili wavunje rekodi kisa Waingereza
Back
Top Bottom