Nissan..imara sana..sbb..spare zake hakuna fake...pia haiharibiki Mara kwa Mara mi nna td40...nzuri kwa safar ndefu..
Sent using Jamii Forums mobile app
C kuna faida inapatikana kwenye uo uwekezaji..?basi wangekuwa wanalipa watu mafao yao..ili kila MTU afaidike..sasa mpka nifike miaka 55..nadai m2..sasa iv nna miaka 40..duh..majanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ppf...nimeenda mpka nimekata tamaa..hakuna wakulisemea jambo hili...viongoz..wametulia kimya ..cc walalahoi tunateseka na makato ya mishahara yetu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna camera zinafungwa ndani ya bus ..ukifuatilia watu wanaohusika na CCTV mbona ma bus mengi tu yamefungwa izo camera
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.