kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,560
- 1,399
- Thread starter
- #41
PoapoaMiez sita baada ya kuacha au kuachishwa kazi.
PoapoaMiez sita baada ya kuacha au kuachishwa kazi.
Hadi sasa ipo hivyo?Miez sita baada ya kuacha au kuachishwa kazi.
NadhaniHadi sasa ipo hivyo?
Choo cha kike , ppf ndio wasengerema sana itakuwa pesa zote wamezipeleka kwenye kampeni za machavi mana sio kwa misimamo yao ile.Hoya heb fungukeni kieleweke mimi niko ppf vipi wanatoa?
Duh. Pesa zetu wenyewe wanatuzungushaChoo cha kike , ppf ndio wasengerema sana itakuwa pesa zote wamezipeleka kwenye kampeni za machavi mana sio kwa misimamo yao ile.