Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,256
Kabisa nataka kumpa farajaAfadhali umpe pumziko la moyo kijana wa watu, nimejikuta namhurumia asee.
Ngoja ninyonge....

Moyo ulikua unamdunda zaidi ya mbio za mwendo wa dunia..Ndo maisha ila duuhh story haina hata kituo aiseee
Philips X2560

Naunga mkono hojaAlafu unaweza kukuta ndugu zako wanateseka kwa matatizo wewe unahonga mamilioni kwa mwanamke aliyeachika? Ulidhani mwanaume mwenzio mjinga kummwaga?
Hivi wanaume kama ninyi bado mpo?
Kwa yalio msibu, tunapaswa kumvumilia
Inasikitisha sanaBadala ya kuhudumia familia ya kwako, unaenda kuhudumia mtu aliechwa na mme wake.
Mkuu hilo picha bado hujalielewa tu hadi hapo final Episode.
Huyo anatafuta mbinu tu akupige chini mkuu