Recent content by Simba wa vita

  1. S

    TISS na CCM Party Comrades tumieni kesi ya Mbeya kuokoa Umoja wetu, na Muungano wetu, kuilinda CCM. FUTA IGA

    Kwa mbaali nauona mtego aliotegewa amenaswa mtu kwa heri ya kuonana wasalimie huko 2025 hutoboi
  2. S

    Kwahiyo Hasira za Kumkosa kwa Umafia mliofanyiwa ndiyo mmeamua Kuwachochea Al Hilal FC Wawashtaki FIFA Wachezaji?

    We sema lolote mie nitakutetea huyu mbuzi mawe najua sehemu ya kumbana ni mshenzi mmoja tu Hana lolote👋👋👋 kama anataka vita nawe niite nije
  3. S

    Natafuta kazi ya Uhasibu na Usimamizi wa Fedha

    Ashikwe mkono huyu asiachwe maana ana kitu atafika mbali huyu
  4. S

    Gold Mafia: Huduma ya utakatishaji fedha – Uchunguzi Uliofanywa na Al Jazeera

    Ahsante ngoja nikanawe uso maana naona kama sijaelewa vile sijui nawaza nini
  5. S

    What a U.S.$500 Million Agreement Means for Tanzanian Ports

    Acha wazile wangali wanapumua maana Mda uliobaki na mchache
  6. S

    Unabii kuhusu Rais mwanamke aliyepo Afrika Mashariki (ulitolewa 2021)

    Hivi wewe mama si ulisema unapitiaga jamii forum mara kwa mara ? Au unatembelea jukwaa lipi ? Je ni kweli unataka kuniambia unasomaga uzi wa kula tunda kimasiara? Au ni kweli upo kwenye jukwaa la mapenzi? . Najiuliza maswali nakosa majibu mama yangu, natamani nifunge na kuomba kwa ajili Yako...
  7. S

    Nguvu ya Makamu wa Rais na CDF zimefanikiwa Kuipandisha Ligi kuu Mashujaa FC na kuwazidi Spika wa Bunge na Mbunge Mstaafu Mbeya Mjini

    Andazi na chai ya rangi linatafunika pia , Iphone zipo ila ukiwasha ni android hapa hapa stand
  8. S

    Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

    Ameen Mtumishi, ni wako mtumwa katika kristo CIA jiwe
  9. S

    Maji kutoka kwenye bomba la kutolea moshi

    Sijui lolote, ila ninachoweza kusema gari Yako Bado mpya✍️✍️
  10. S

    Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

    Nimemkumbuka Dr Moses Kulola daima anaishi
Back
Top Bottom