Recent content by Sim 1

  1. S

    Le mutuz awashukia wanaomlaumu kuhusu nyumba ya mama yake

    Ha ha ha Lemutuz ni B TOZ
  2. S

    Kundi la ISIS lawachinja wapiganaji wake zaidi ya 120 kwa kujaribu kutoroka

    Wawaue tu ili wengine waogope kujiunga na hilo kundi, mwisho wa siku watajikuta wamebaki wachache na mauaji ya watu wasio na hatia yatapungua.
  3. S

    Gazeti la UK laweka hadharani jitihada za Pinda kukwamisha mjadala wa ESCROW

    Hivi bado kuna mtu anajiita ni mwanachama wa sisim? huko kuna wenyewe wewe mwenzangu na mimi huko hapakufai, ondoka haraka sana muwaache wao na watoto zao.
  4. S

    Msichana wako wa kazi unamlipa ngapi?

    Mimi namuendeleza kimasoma elimu ya secondary form 1 to form 4.
  5. S

    Hapo Babu Asprin Akiwa na Mmoja wa Member Wa Jamii forums

    Kwa umri huo, wakienda kwa 6 kwa 6 ataishia goli moja tu, visingizio chungu mbovu.
  6. S

    Modemu ya Vodacom inauzwa

    Kwanini mkuu unaiuza,au imebuma?.
  7. S

    Mgao wa umeme kwa wakazi wa Mbezi Beach

    Jana nilikua Mwanza, nako umeme ulikatika siku nzima na naambiwa na leo tena wameukata toka asubuhi.
  8. S

    Rasimu ya Samweli Sitta yalisambaratishia mbali taifa la Zanzibar

    Tanzania eeeee nchi yangu aaaaaa, mwanangu kua uyaone
  9. S

    Ushauri wangu kwa wanaume

    Huo ni ushauri kwa vijana wenzako sio wanaume.
  10. S

    Nguvu ya mende

    Aaah maskhara ,Mimi na kitambi changu chote hiki hawaniogopi,wanaogopa mende.
  11. S

    Wakwe waongeza dau la mahari baada ya kuona maprado yamepaki

    Piga mimba harafu potea,lazima watakufuata na kama wataendelea kua kiburi piga tena mimba ya pili.
  12. S

    Rushwa za ngono kwa lecturers vyuoni

    usipotoa rushwa unaonekana huna ushirikiano, matokeo yake ni kupigwa sap.
Back
Top Bottom