Msichana wako wa kazi unamlipa ngapi?

Msichana wako wa kazi unamlipa ngapi?

Mi nina shida ya housegirl mazee. kazi yake ni kulea mtoto tu basi. Mshahara 40000. Msaada plz
 
Tangu 2010 namlipa elfu 30 mambo ya allowance huwa anajiongeza mwenyewe kwenye pesa ya mahemezi na vitu kama sukari, unga, mafuta na n.k

Nahuwa simgasi kwa hilo kwani najua ni haki yake

Cc King kong
 
Aisee tumia lugha tofauti mwenzio napenda sana miwa ! huwa nikiiona karibu na nyumbani nabebea fimbo kam 4 hivi!
Fastjet unaweza kukaa na mtu anakula miwa. Sema lokeshen helikopta ya Ndesamburo ikufuate fasta.
 
Majukumu yote ! Kama ni majukumu yote huyo mshahara wa nini !
huu uzi utasaidia kujua on average msichana/kijana wa kazi kwa sasa anapaswa kulipwa bei gani kw amwezi ili kutimiza majukumu yote ya nyumba................
haya taja.....
 
Natafuta msichana wa kazi wa nyumbani....mshahara 50000...kama upo tayari ni PM
 
Kama wa kwangu huyo, kama haitoshi hata wanangu wanafurahia kuwa na mtu wa kuongea naye kidhungu....

Special Request

Hao wa Malawi mmepata wapi? Je tabia nyingine vipi? slim5
Kupata mdada wa home imekuwa issue sana siku hizi yaani wabongo wenyewe ni biashara kibao hawatulii.
 
Last edited by a moderator:
Special Request

Hao wa Malawi mmepata wapi? Je tabia nyingine vipi? slim5
Kupata mdada wa home imekuwa issue sana siku hizi yaani wabongo wenyewe ni biashara kibao hawatulii.

Kuna madalali wao, wanawaleta na kuwafanyia marketing! wamejaa dsm mkuu, si unajua wamalawi wana free entry Tz, so wamejaa, km vp nikuunganishe na dalali wao, tena unataja specs mwenyewe km unataka asiejua ama anaejua Kisw!
 
Last edited by a moderator:
Kuna madalali wao, wanawaleta na kuwafanyia marketing! wamejaa dsm mkuu, si unajua wamalawi wana free entry Tz, so wamejaa, km vp nikuunganishe na dalali wao, tena unataja specs mwenyewe km unataka asiejua ama anaejua Kisw!
Nitakupm asante sana nilikuwa nimeuliza na swala la tabia, je wako vipi? na usalama je?
 
Nitakupm asante sana nilikuwa nimeuliza na swala la tabia, je wako vipi? na usalama je?

Kitabia na usalama,.cjawahi kukumbana na changamoto yyt kwa hawa wasichana! Though mm nimekuwa na wawili tu kwa wkt tofauti tofauti!
 
Mshahara wa mtu ni siri yake, waulize wenyewe wakuambie kwa hiari yao hadharani.
 
Kuna madalali wao, wanawaleta na kuwafanyia marketing! wamejaa dsm mkuu, si unajua wamalawi wana free entry Tz, so wamejaa, km vp nikuunganishe na dalali wao, tena unataja specs mwenyewe km unataka asiejua ama anaejua Kisw!
Niunganishe na dalalii naomba, nimekupm pia.
 
Special Request

Hao wa Malawi mmepata wapi? Je tabia nyingine vipi? slim5
Kupata mdada wa home imekuwa issue sana siku hizi yaani wabongo wenyewe ni biashara kibao hawatulii.
Siwezi kusema hapa yote maana itakua ni kumponza muhusika. Kuna mdada mmoja maeneo ya Mbezi juu hao wadada kutoka Malawi huwa wanafikia kwake anawa-accomodate na baadaye anawatafutia kazi za ndani kwa mtu anayemwamini sio Pilato...

Ni waaminifu sana kwa kweli maana wanaelewa huku ni mbali na kwao hivyo Baba na Mama ni kazi. Tatizo lao ni wepesi kugawa Uhondo kwa vijana wa mtaani ili kujiongezea kipato. Wife alipataga mmoja akapewa ujauzito, ikamlazimu wife amlipe chake aondoke akaja mwingine. Huyu wa sasa hivi ametulia mno, nipo kwenye mchakato wa kumtafutia "Working Permit" aishi kihalali...
 
Back
Top Bottom