Nikiwa na miaka 24, Skushika million 1 ila nilshika Million 5.500k cash
Ni baada ya kufngua kibubu changu nilcho ktunza kwa miaka 2 tu.
Vjana wenzangu kibubu knaokoa sana tjtahd hasa ukiwa na kaz ambayo hutakaa ukiwaza sana kibubu yaaan sio kila unapopata tatzo unawaza kibubu hapo htofiksha...
Me nilpata Ajal nikapata madonda ya makubwa nilpata dawa ya kufuta makovu Niliagza ktoka kongo iko pwa sana tena ila kna kovu lilivimba namaansha line kakjinyama kadgo tu kwa ndan / lipo kwenye shavu naweza fanyeje angalau haka kajinyama kaliko ndan kapngue??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.