De Queensess Najuh
Member
- Feb 7, 2012
- 31
- 15
Nielekese mkuuKuna mhindi mmoja Arusha ana cream lotion home made naona inawasaidia sana wamama ,tuwasiliane nikuelekeze kwake ,
Nielekese mkuuKuna mhindi mmoja Arusha ana cream lotion home made naona inawasaidia sana wamama ,tuwasiliane nikuelekeze kwake ,
Hata kama ni kovu la moto kama ndonya za kabila la wagogo maarufu kama shilingi usoni linawezekana kuondoka?suruhisho la matatizo ya ngozi limepatikana! kama una tatizo la ngozi lolote la ngozi usione aibu! kwani waswahili walishasema mficha uchi hazai! tunayo creme inayoondoa makovu na kurudisha ngozi katika hali yake ya kawaida wasiliana nasi whats app 0764014285
Mjini hapa mkuu, Ukizubaa wanafanya yao.Kwani ninyi mko wapi jamani???
Juisi ya kitunguu swaumu inaandaliwajwe?? Au ni baada ya kukitwanga twanga???Tumia juisi ya kitunguu swaumu,uwe ukipaka eneo lililoathirika kila siku usinawe kwa muda wa dakika 15
MAREKEBISHO: NI KITUNGUU MAJI SIYO SWAUMU.Tumia juisi ya kitunguu swaumu,uwe ukipaka eneo lililoathirika kila siku usinawe kwa muda wa dakika 15
Nilikosea hapo, Ila Nimerekebisha, Twanga/saga vitunguu maji kiasi halafu juisi yake au yale maji uliyoyapata baada ya kukitwanga au kukisaga unapaka asubuhi na jioni mpaka makovu yafutike. Unapopaka usinawe au kuoga mpaka baada ya dakika 15-20 hivi zipite.Juisi ya kitunguu swaumu inaandaliwajwe?? Au ni baada ya kukitwanga twanga???
Asante mkuu kwa maelezo hayo. Je? Ina weza tumia muda gani mpaka kovu kufutika kabisaNilikosea hapo, Ila Nimerekebisha, Twanga/saga vitunguu maji kiasi halafu juisi yake au yale maji uliyoyapata baada ya kukitwanga au kukisaga unapaka asubuhi na jioni mpaka makovu yafutike. Unapopaka usinawe au kuoga mpaka baada ya dakika 15-20 hivi zipite.
Ni juhudi zako mkuu katika kujipakaa, Lakini inaweza chukua siku 30 au 60 hivi.Asante mkuu kwa maelezo hayo. Je? Ina weza tumia muda gani mpaka kovu kufutika kabisa
Bado unayo hii kituTumia unrefined raw Shea Butter ya West Africa. Inauzwa 30000. Ukihitaji PM
Pole sana mkuuMe nilpata Ajal nikapata madonda ya makubwa nilpata dawa ya kufuta makovu Niliagza ktoka kongo iko pwa sana tena ila kna kovu lilivimba namaansha line kakjinyama kadgo tu kwa ndan / lipo kwenye shavu naweza fanyeje angalau haka kajinyama kaliko ndan kapngue??View attachment 1243531
Mbona ccbrt nilizungumza nao kwenye simu wakasema hawana huyo daktariMbontafo a.k.a habari zako lol
pole sana kwa tatizo ndugu.ila ila ila kama hilo kovu ni la moto usidanganywe humu kuwa eti ipo dawa ya kuliondoa kovu hilo plzzz.mimi niliungua mguu kama miaka 15 Ilopita sehem ya paja nilitumia dawa sana halikutoka nikaamua kwenda ccbrt na likaisha kabisaaa huwezjuakama niliwahi kuungua.
Nakushauri nenda pale ccbrt kuna wataalam wa kuondoa hayo makovu hata kama umepinda mdomo ama uso kutokana na kovu hilo unarudia sura yako kabisa.tena kuna wafadhili wanaofadhili huduma hiyo unachangia kidogo sana.mimi nilienda pale 2010 nilitoa only 75000
kwa huduma zoote tena watoto ni buree