Recent content by Silent Heart

  1. Silent Heart

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Hey Ladies en gentlemen.. I'm new here. Can everybody say welcome with thousands of likes?
  2. Silent Heart

    Rais Magufuli kuanza ziara ya siku tatu mkoani Morogoro

    Yap,na pia mji wa Ifakara unakua kibiashara. Kuna mabasi mengi hii njia ila barabara ni changamoto. Kuna mashamba makubwa ya mpunga Chita KPL,achilia mbali mashamba ya wakulima mmoja mmoja. Barabara hii itarahisisha sana shughuli za kiuchumi
  3. Silent Heart

    Rais Magufuli kuanza ziara ya siku tatu mkoani Morogoro

    Nampongeza sana Mh.Rais kwa kuipa kipaumbele hii barabara. Eneo hili liko potential kiuchumi ila miaka nenda rudi barabara hazipitiki. Kipindi cha mvua utasema barabara ya Kidatu Ifakara wanapita ng'ombe.
  4. Silent Heart

    Rais Magufuli kuanza ziara ya siku tatu mkoani Morogoro

    Na mwaka juzi walikufa watu pia baada ya kivuko kusombwa na upepo. Rais pia ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Kidatu-Ifakara.
  5. Silent Heart

    Kwanini wanaume watu wazima hampendi kupewa shikamoo?

    Hata wanawake. Mama sura imemkakamaa kama soli ya kiatu ukimwamkia anakausha
  6. Silent Heart

    Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz

    Unaa na kuendekeza tumbo havitakuacha salama Paskali. Bazawei una uhuru wa kusema chochote.
  7. Silent Heart

    wabunge wa Chadema anzeni kufungasha mizigo 2020 hamtapita

    Stupider thoughts ever thought.
  8. Silent Heart

    Polisi yakiri kupiga mtu risasi maandamano ya CHADEMA

    Jeshi la polisi lijitafakari. Watakuja kupewa za mbavu kama walivyopewa kule staki shari huku raia tukishangilia kimya kimya
  9. Silent Heart

    Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    Walivyopewa za chembe kule staki shari binafsi nilifurahi sana. Kuna mambo yakiwatokea hata sishtuki. Naona wanastahili na wao. Wamezidi kuinea raia na imeshaonekana ni sehemu ya kazi zao. Shubbaaaaamiti.
  10. Silent Heart

    Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

    Hahahaaaa..... Nimeona huu uzi wake nikakumbuka comment yake flani hivi kuwa baada ya mumewe kinafuata kidole. Pole yake aisee,labda mtu wake hamkuni vizuri
  11. Silent Heart

    Mbuyu huu ni hatari kwa Wana-Mwanza

    If u knew I'm wrong you would shut your asshole. Why have you kept it spitting nonsense? Nyambafuuuu
Back
Top Bottom