Mbuyu huu ni hatari kwa Wana-Mwanza

Mbuyu huu ni hatari kwa Wana-Mwanza

Acha kiherehere wewe...hicho ni kilinge cha wazee..mlikikuta na mtakiacha.
Unafikiri hao tanroads hawajui au wamelala wewe ndiye unayejua au uliyeko macho?
I hope hapa unaongea na simu. Si kwa upoyoyo huu
 
You will when you believe!

Siongei na simu naongea na kitonge kama wewe.
Mm na wewe na imani zako za kimazonge nami kitonge?

Watu wanaongelea habari ya mti kuhatarisha maisha ya traffics wewe unaleta habari za kilinge cha babu yako.

Shubbbaaaaamit
 
Mm na wewe na imani zako za kimazonge nami kitonge?

Watu wanaongelea habari ya mti kuhatarisha maisha ya traffics wewe unaleta habari za kilinge cha babu yako.

Shubbbaaaaamit

Wewe mejiunga tarehe 2 june this year!
Nenda kwenye majukwaa yako ya mapenzi na jf photos manake hata huko nimekuta huna lugha nzuri huko ikimaanisha ndiyo hulka yako...na kama unataka kiki kupitia mimi huipati ng'ooooooo...
 
Wewe mejiunga tarehe 2 june this year!
Nenda kwenye majukwaa yako ya mapenzi na jf photos manake hata huko nimekuta huna lugha nzuri huki ikimaanisha ndiyo hulka yako...na kama unataka kiki kupitia mimi huipati ng'ooooooo...
Eeiiissshhhhhh

Pitaa na shombo lako hukooo usiniletee nzi

Nikuwie na lugha nzuri nimekuzaa popoma ww
 
Uache tu mbona mtaani kuna wazee kibao na hutoi ombi wizara ya afya wapunguzwe!
 
Kidagaa kweli wewe kidimbwi kimekushi utaiweza bahari?
Embu toka hapa.
Acha kujitogozesha kwangu.
Heheiiiiyyyyaaaa.

Pale mwanaume unapogeuka mchambaji na bado ukaendelea kujihisi rijali.

Uso haya usoona baya hayawani punda mkaa juani...

Aibu.
 
Nyie washinzi wawili mmegeuza uzi huu kuwa sehemu ya kuchambana si ndiyo tuwavishe madera?
 
Ahsante kwa kuonesha uzalendo wako kwa Taifa..vijana wenye courage kama yako wamepotea sana kwa sasa, kila mtu bora liende kana kwamba wamekata tamaa eti dah eeh Mungu tusaidie!
 
Back
Top Bottom