Ha ha haaaaa
Sasa wakataa nipo kijijini haya basi nipo hapa ulaya likizo.. njoo uku tuburudike kwenye sijui baridi sijui ulaya ya ilipo joto.. sasa utakaribia?
Maana si unapenda kuniandika ka vile unanifahamu ha ha haaaaa.. njoo panda ndege maana umedharau hapa kijijini ndege haifiki.. basi njoo na ndege tupaite Ulaya.. na snow ipo utaionja ubaridi wake.. si unajua kuna barafu nchini juu ya milima pia.. eeeeh
Hata usipopiga..wengine watakuwakilishaSo sad kwa kweli.
2020 siwezi kupiga kura kabisa asee, kwa uchakachuaji huu, hapana.
Kura za watu wajinga, waoga, wasiojitambua na masikini wa fikira unazitakia nini? Nadhani hizo kura walizopata cdm/upinzani ni za wanaojielewa kifikira. Tafahali ridhika nazo hizo hata kama ni chache. Za wasiojielewa achana nazo.tatizo sio NEC/CCM wala serikali -tatizo sisi wenyewe asilimia kubwa ya wananchi hawajitambui wengi wa wananchi ni wajinga-waoga na masikini wa kifikira
umepost nini sasa, nonsense!Umeyaandika hayo kwa maneno
Ukiambiwa uweke matukio yote utaweza!!.. ni vizuri ukafungua uzi uandike yoteeee tuyajue unayodai..
Nilikuwa busy kweli kweli jana
Ndio nimeona CCM wameshinda kwa kishindo
Ila inajulikana chini ya JPM haiwezi kushangaza.. drama za kulialia za haswa Chadema watu wamezichoka
Wabunge wao hawana la kuonyeshea na kuringia kwa kuleta maendeleo kwa wananchi wao kupiga domo na kujaza matumbo kwa kupenda pesa tu
Hongera kwa Wabunge.. ila walifanya kazi ya kujinadi nafikiti kupita ya 2015.. eeeeeh jasho limewatoka hawatasahau uchaguzi wa jana maishani mwao eeeeeeh
Sasa watende kazi na waliyosema watafanya wayafanye kweli kweli...
Chadema acheni kulalamika hata vikamera vya kuficha hata peni au saa kweli mlishindwa kurekodi kama kweli.. mnaboa
Mkuu,paskali yuko kazini.ana familia na watoto ujue na ni mwanahabari ambae bado anataka kuendelea kuepo katika hali ilele no matter what.Paskali ni mtu ambae haaminiki!
Mtu wa kung'ata na kupuliza!
Very unreliable!
Bendera fuata upepo!
Mkuu,hilo mimi nililisema mapemaaa.maccm sio wajinga kiasi hicho.kwani ww ulitegemea mtulia assipite hivi uliona wapi chama kitumie mabilioni ya hela kumuondoa mtu kutoka chama cha cuf kuja CCM alafu washindwe kizembe
Mkuu NEC ni kitengo cha ccm usitegemee upinzani kuja kushinda bila tume huru na ya haki kupitia katiba mpya ya warioba